tag:blogger.com,1999:blog-6976310726058368855.post6277636431094214346..comments2024-02-23T12:37:24.040+01:00Comments on Tanzanian Association Oslo: Chama Cha Watanzania Oslo - CCW Oslohttp://www.blogger.com/profile/01651714405985133072noreply@blogger.comBlogger2125tag:blogger.com,1999:blog-6976310726058368855.post-20329056944981081242012-03-01T13:47:51.569+01:002012-03-01T13:47:51.569+01:00Swadakta Tausi, umenena...wapashe haoooooooooooo!!...Swadakta Tausi, umenena...wapashe haoooooooooooo!!!!!!!!!!Dotto Mokilinoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-6976310726058368855.post-52576615565292201812012-03-01T13:47:21.613+01:002012-03-01T13:47:21.613+01:00Mbona kichwa cha habari hakielewiki?
Kwanza: Nes...Mbona kichwa cha habari hakielewiki? <br /><br />Kwanza: Nesi feki abambwa<br /><br />Pili: akutwa maabara akipima wagonjwa, yadaiwa hana cheti cha udaktari.<br /><br />Toka lini nesi akawa na cheti cha udaktari?<br /><br />Nesi wana vyao na madaktari wana vyao.<br /><br />Hivi haya magazeti ya udaku yanashindwaje kufanya uhariri kabla ya kuchapisha gazeti?<br /><br />Yanafanya mtu unakuwa na mashaka na habari wanazoandika, japo mara nyingi ni za kweli.Tausi Usi Ame Makamenoreply@blogger.com