Monday, February 28, 2011

Mwamba ngoma huvutia kwake - Kifo cha Evans

Naona aliyeandika kwenye Kenyans in Norways blog


haelewi maana ya Kiswahili ya kwenda kwenye kilio/msiba na rambi rambi. Angeelewa angeandika tofauti kidogo na alivyooandika.

Kwenda kwenye kilio/msiba haina maana ya kuchangisha pesa tu.

Wengine hatukutoa pesa, lakini tumepika, tumetoa vinywaji na tumehudhuria tu kumpa pole baba mzazi na kadhalika. 

Vitu kama hivi huwezi kuviweka kwenye thamani ya pesa taslimu!!!



Inaonyesha hakukuwa na mawasiliano mazuri baina ya mama na baba mzazi kwenye ulezi wa marehemu kitu ambacho kiliwaweka katika hali ya kutoelewana! Hili suala ni la mama na baba, sisi wengine hatupaswi kabisa kuliingilia. Huu ni wakati wa kuomboleza!!!

AMA KWELI MWAMBA NGOMA HUVUTIA KWAKE!

Ni matumaini yangu kuwa kifo cha Evans kisilete utengano wa utaifa kwa watu wa Afrika Mashariki. Kwani inaonyesha kila mtu anavutia kwake kwenye msiba huu. Tunayoyasikia yanasikitisha. Baada ya kukaa na kuomboleza, watu wanaanza kutupiana maneno!

Tuwape pole wazazi, yaani Martha (mama kutoka Kenya) na Abdul (baba kutoka Tanzania) na Mwenyezi Mungu Amweke Evans Pema..Ameen!

Wenu mwenye masikitiko; Jamaldeen T. Bin Mazar E Shariff Ibn Zenjibari Dunia Adonis.


Mazishi ya Evans

Mazishi yatafanyika Jumanne, 1.Machi 2011.02.28
Mwili wa marehemu utachukuliwa toka hospitali ya Ullevaal saa 3 asubuhi (09:00 CET) na utazikwa kwenye makaburi Grefsen (Grefsen kirkegård), yaliyopo Gladsvei 49  saa 4 asubuhi (10:00 CET)



The burial is scheduled for Tuesday 1st. March with a departure from Ullevål Hospital at 09:00 CET. According to the presented plan, the remains of Evans will be laid to rest in a Christian ceremony at Grefsen  (Grefsen kirkegård - Glads Vei 49) at 10:00 CET.


From Kenyans in Norway (KiN) - about Evans´s funeral meeting

KiN Reports

A meeting hosted by the official Evans' funeral committee was treated to a surprise when information of another paralell meeting reached the attendees. It came to the knowledge of the attendees that the father of Evans had organised another fundraising meeting on Saturday, 26th. February where several Kenyans, Tanzanians, Ethiopians and friends had been invited, attended and contributed cash.

The father had prepared the meeting that was hosted at LovisenbergDiakonale Hospital starting at 16:00 CET. Several people at that meeting wondered why Evans' mother was not at the meeting where the funds were to be raised for her deceased son. The common message that was dished out was that the mother was late due to the weather conditions then later the facts started pouring in with the father (Abdul) stating that the deceased's mother and her friends had actually planned another meeting for Sunday the 27th.

KiN has been updated on the facts and can report that the meeting held at Willy's Bar this evening attracted several people and a mix of Kenyans and friends from all walks. The attendees who had been to the earlier meeting organised by the father of Evans (Abdul) were requested by the committee to ask him of the whereabouts of the money they had contributed. It was further stated that there was only one official committee comprising of among others Njeri, Naomi and two others whose identities had not been availed to KiN at the time of going to press.

Funeral arrangements:
Evans' funeral committee presented the plans already made by the hospital, priest and the mortuary where the remains of Evans are. There will be a funeral service for Evans on Monday, 28th. February starting at exactly 11:00 CET at Oslo Ullevål Hospital's Children's Center (Barnesenteret).

The burial is scheduled for Tuesday 1st. March with a departure from Ullevål Hospital at 9:00 CET. According to the presented plan, the remains of Evans will be laid to rest in a Christian ceremony at Grefsen  (Grefsen kirkegård - Glads Vei 49) at 10:00 CET the same day. After the burial, Kenyans, friends and all the mourners are requested to join the family at a reception in town. The venue is Peppes Pizza at the start of Karl Johans Street opposite Trafikkanten. The cover charge for the reception is NOK 100 to be paid on arrival at Peppes Pizza.

Evans' mother, Martha from Kenya, sends her gratitude to all of you who are supporting her at this difficult time of sorrow.

Source: http://kenyansinnorway.blogspot.com/2011/02/evans-funeral-meeting.html#links

Remy Martins selo miaka 8


Kwa wale wote ambao walikuwa awajui …ni kuwa mwanadada Remy Martins wa Terroe Squad alienda jela mwaka 2008 baada ya kuusuka kwenye tukio la kurushiana risasi na kusababisha kifo cha mtu mmoja… Mwanadada ataendelea kuwa jela kwa mda wa miaka 8…, Kuanzia juzi mwanadada akiwa na wanasheria wake wameanza mpango wa kumshawishi jugde na mahakama yake wampunguzie mda wa kifungo... mpango huo haukufanikiwa..so kidizaini kama mwanadada ataendelea kusota jela kwa hiyo miaka 8. 


Harambee ya kuchangia maafa ya Gongo la Mboto iliyofanyika London








Salaam,

Tunapenda kutoa shukrani zetu za Dhati kwa watanzania wote  waishio LONDON UK walioweza kufika jana jioni AFRICAN VILLAGE BAR & RESTAURANT kuchangia waathirika wa Gongo la Mboto Tanzania. Kwa mda wa masaa mawili  

tumeweza kukusanya Jumla ya  pesa taslim Pounds £600, pia tumekusanya Nguo nyingi kutoka kwa watu mbalimbali na vifaa vingine mbali mbali. 

Ningependa kutoa shukrani za dhati kutoka URBAN PULSE,MISS JESTINA BLOG,AIL TV, LOCUS IMPEX SHIPPING CO, SHILLA FRISCH, NA Utawala wa AFRICAN VILLAGE BAR & RESTAURANT LONDON kwa kusaidia na kuwezesha kufanikiwa kwa zoezi la jana.

Mungu Ibariki Africa, Mungu Ibariki Tanzania
Asanteni

Sunday, February 27, 2011

It was once between Lil Kim and Foxy Brown then Lil Kim and Nicki Minaj and now Ciara and Rihanna - Ciara blasts Rihanna.


The world should never expect to see Ciara and Rihanna as BFF’s. Ciara made a comment on TV that pretty much ruffled the rude girl’s feathers and led to an all out twitter catfight.





Whooaaaa….so what happened?

Our beloved Ciara was a guest on the Joan Rivers “Fashion Police” show on E! and was asked what she thought of one of Rihanna’s ensembles. The ATL diva responded by saying that Rihanna used to be such a nice girl, but after running into her at a party, she had change of heart. In a nut shell, Joan summed it up by calling Rihanna a “B*tch!” *raised brows*

Source: Egypt Said So

40,000 Libyans flee to Tunisia; Gadhafi's son says regime will survive




Col. Muammar Ghadafi By Gado




Kenya's mentally disabled struggle to survive



Friday, February 25, 2011

Oslo, Norway

Rambi rambi ya Evans

Siku ya Jumamosi 26.02.2011
tukutane kwenye kilio (msiba wa Evans)
Mahali: Lovisenberggata 21 K


Saa: kuanzia saa 10 jioni (16:00 CET).
Kuwapa pole na rambi rambi  wafiwa.
Kwa wale wasioweza kufika, wanaweza
Kutoa rambi rambi zao kwenye akaunti ifuatayo:

1645.12.35579 DnB NOR

Baba wa marehemu Evans; Abdul Mohammed Mpili

Abdul anapatikana kwenye namba +47 988 78 361

Miss Africa Crown Scandinavia, Michelle Jeng Visits the Embassy of Tanzania in Stockholm 

H.E Muhammed Mwinyi Mzale and Miss Michelle Jeng

Michelles Support to Bomb Victims in Dar es Salaam, Tanzania!

The winner of Miss Africa Crown Scandinavia, Ms. Michelle Jeng, paid a courtesy call to the Ambassador of Tanzania, H.E Muhhamed Mwinyi Mzale on the 23rd February 2011. His Excellency Ambassador Mzale welcomed Michelle and congratulated her for winning the Miss Africa Crown Contest. He said that she is the public face of Tanzania in Scandinavia and hoped that she will carry the title with pride for Tanzania.

The purpose of her visit was to pay her tribute to the recent bomb blast in Gongo la Mboto, Dar es Salaam. Ms. Michelle Jeng, informed the Ambassador that she has opened a special account and deposited her contribution in order to help those who have been affected by this accident in Tanzania.

She informed the Ambassador that she has contacted her fellow Tanzanians living in Sweden and friends of Tanzania to come forward, and support her to make a meaningful contribution that can help displaced children in Gongo la Mboto, Dar es Salam after the bomb blasts. Ms. Michelle said,

“What happened in Tanzania after the Bomb accident is a problem for all Tanzanians. You can always make a difference. Even if a small effort doesn’t seem much to you it could mean the world to someone!”

Once again, Ambassador Mzale appreciated her initiative and promised to offer her all the support she needs.

Ms. Michelle Jeng in cooperation with Miss Africa Crown Scandinavia organizers, African Monetary Fund/ Ritz Society, requests that cash contributions can be deposited in SEB Bank Account No: 5368 02 660 73, Michelle Jeng. Contributors are requested to write their names when making this deposit.

The Embassy of Tanzania in Sweden fully supports this initiative and encourages all Tanzanians and friends of Tanzania to offer their maximum support to this breathtaking initiative.

For more information please call her on +46 (0)18 156630.
Embassy of Tanzania, Sweden

Oslo, Norway - Young Money´s rapper Tyga & Iyaz will perform at Spikerboks Thursday 3rd March 2011



Who are the young money members?

1. Drake 2. Gudda Gudda 3. Jae Millz  4. Tyga  5. Lil Twist  6. Nicki Minaj  7. Young G  8. Lil Wayne  9. Miss Cheynelle  10. Cory Gunz  11. young lloyd  12. Little Chuckiee




Kenya - Church leader reverses stance on HIV, reaches out to those affected



Woman Falls for Online Nigerian Scam: What Would You Do?



Kenya´s mentally ill: locked, hidden.



At Willys Bar, Jernbanetorget, Oslo



Thursday, February 24, 2011

Gadhafi blames violence on young people, drugs, al Qaeda



Bill Maher Saying Muslim Men Treat Women The Worst In The World, Tavis Smiley Responds & Audience Member Goes Off



Nash Designer ft, Nipishe - Nasemwasemwa



Keshia "Little Rudy " (The Cosby Show) Knight Pulliam Proves She´s All Grown Up!

by: Danielle

Little Rudy has left the building!  Keshia Knight Pulliam sheds her little girl image and gives us full grown woman in her photo shoot for the latest issue of Rolling Out.  In the mag Keshia dishes the dirt on Hollywood, her love life and finding success after The Cosby Show.  These photos are flawless and your girl Keisha is definitely working it!
Source: Egypt Said So

Omarosa (from Donald Trump’s The Apprentice) Becoming A Minister!!!

If you follow Donald Trump’s The Apprentice then you’ve heard the name Omarosa. Known as the ‘villain’ & named ”the most hated reality TV star of all time” by TV Guidefollowing her season, my girl seems to have seen the light. She announced she’s going to school to become a minister!!
Source: Egypt Said So.

Wednesday, February 23, 2011

Oslo, Norway

Rambi rambi ya Evans


Siku ya Jumamosi 26.02.2011
tukutane kwenye kilio (msiba wa Evans)
Mahali: Lovisenberggata 21 K
Saa: kuanzia saa 10 jioni (16:00 CET).
Kuwapa pole na rambi rambi  wafiwa.
Kwa wale wasioweza kufika, wanaweza
Kutoa rambi rambi zao kwenye akaunti ifuatayo:

1645.12.35579 DnB NOR

Baba wa marehemu Evans; Abdul Mohammed Mpili

Abdul anapatikana kwenye namba +47 988 78 361

kuna baridi kali!

Ufunguzi Karl Johan Oslo -15oC


















TANZIA


Marehemu alipokuwa amelazwa kwenye hospitali ya Ullevaal. 
Picha kwa hisani ya Abdul "DJ Pred" Mohammed Mpili.


Chama Cha Watanzania Oslo kinasikitika kutangaza kifo cha mtoto Evans wa Mtanzania mwenzetu; Abdul Mohammed Mpili kilichotokea juzi saa 5 usiku kwenye hospitali ya Ullevaal hapa Oslo.

Kutakuwa na misa kwenye kanisa la hospitali ya Ullevaal, Jumatatu 28.02.2011 saa 5 asubuhi.

Mazishi yatafanyika Jumanne Machi Mosi (01.03.2011) saa 3 asubuhi (09:00 CET).

Maelezo zaidi juu ya mazishi yanafuatia.

Abdul anapatikana kwenye namba +47 988 78 361

Mwenyezi Mungu Amlaze Pema Evans…Ameen!


Oslo, Norway

Wageni wanaoishi kihalali kupewa vitambulisho vyenye alama za vidole


Wizara ya sheria hapa Norway, imependekeza kuwa wageni wote wanaoishi kihalali hapa na ambao wametoka nje ya nchi za EFTA (European Free Trade Association) wapewe vitambulisho vitakavyokuwa na jina, namba za taifa (National Identity Number/fødselsnummer) ambazo hutolewa kwa wote waishio hapa Norway, picha na alama za vidole zitakazokuwa kwenye “chip”.

Lengo la vitambulisho kwa wageni waishio kihalali ni kuhakikisha kuwa kunakuwa na urahisi wa kuwatambua wageni waishio kinyume cha sheria.

Hii inafuatia shinikizo kutoka kwenye Umoja wa Ulaya (EU) ambayo Norway si mwanachama, lakini nchi za EFTA zina makubaliano na EU kuhusu kuingia kwa wageni kwenye nchi za Ulaya; yaani makubaliano ya Schengen.

Chanzo cha habari: Aftenposten Jumatano 23.02.2011 ukurasa wa 6.

Mgomo wa wanafunzi



Mtoto anahitaji msaada wa matibabu nchini India



Habari za mabomu toka JWTZ.



Leo ni siku ya ufunguzi




Diamond feat. Hawa - Ntarejea


Tuesday, February 22, 2011

Defiant Gadhafi vows to die a 'martyr'




R. Kelly backs African supergroup tipped for global stardom

By Emily Wither and Teo Kermeliotis, for CNN
February 22, 2011 -- Updated 1148 GMT (1948 HKT)
(CNN) -- Eight African musical superstars have joined forces, on a mission to share their continent's music with a global audience. They have formed a pan-African supergroup, called ONE8, which has been tipped as one to watch this year by U.S.-based Billboard magazine -- the music industry's bible on what's hot and what's not....read more>>>>

Kama kawaida yetu - angalia jinsi wanaume wenye asili ya Kiafrika tulivyo!


Indian Man Earns $2-4 A Day Cleaning Peoples Ears On The Street Just To Make A Living & Provide For His 4 Kids!




Matonya - Spare Tairi



Enviromental friendly cars - for Dar es Salaam?

Buddy  Cab

Buddy Cab

Think