Friday, May 17, 2013

Gratulerer med dagen!




The Norwegian Constitution Day is the National Day of Norway and is an official national holiday each year. Among Norwegians, the day is referred to simply as syttende mai (meaning May Seventeenth), Nasjonaldagen (National Day) or Grunnlovsdagen (Constitution Day)



Historical background

The Constitution of Norway was signed at Eidsvoll on May 17 in the year 1814. The constitution declared Norway to be an independent nation.
  
The celebration of this day begun spontaneously among students and others from early on, and for some years the king was reluctant to allow the celebrations. For a couple of years in the 1820s, king Carl Johan actually forbade it, as he thought the celebrations a kind of protest and disregard - even revolt. The king's attitude changed slightly after the Battle of the Square in 1829, an incident which resulted in such a commotion that the King had to allow it.

It was, however, not until 1833, that anyone ventured to hold a public address on behalf of the day. That year, official celebration was initiated by the monument of the late politician Christian Krogh, known to have stopped the King from gaining too much personal power. The address was held by Henrik Wergeland, thoroughly witnessed and accounted for by a Swedish spy, sent by the King himself.
 


Tuesday, May 14, 2013

Lake Malawi dispute: Tanzania, M23, and the greed it will ‘suffer’ for - Jinsi Wamalawi wanavyoiandika Tanzania.



I may be Malawian and full of life, but am never a prophet of doom. However, it is starting to smell like Tanzania, our dear and long stood cousin-neighbor to the North-East, will end up reddening its once peaceful country if it continues to develop its greedy tendencies over resources that may never belong to them at all. We are all aware, and I am very mindful, that there are current negotiations with former Mozambique leader, Joachim Chisiano, at the helm, as Malawi and Tanzania like the ostrich continue to bury their heads in the sand, refusing to listen to each others’ arguments. To be precise, it is Tanzania that is playing the ostrich, for neither a drop of Lake Malawi and a resource from within Malawi’s borders has ever and will ever be for the former Mussolini/Hitler colony. Ah-hash!!...

Read more: Nyasa Times 

Wednesday, May 08, 2013



UAE Says 3 Citizens Suspected in Tanzania Bombing


The United Arab Emirates says three of its citizens are in custody in Tanzania in connection with a church bombing that killed two people and injured more than 50 others.

The UAE Foreign Ministry did not make clear whether the three were additional suspects in Sunday's attack in the northern city of Arusha, but it suggests they are among four alleged attackers originally identified as Saudis.

Wednesday's statement said the three men were being held in Dar es Salaam.

A total of six people have been arrested in the bombing, which occurred just before the Roman Catholic church's inaugural Mass.

The reason for the attack is still unclear, but Tanzania has been hit by sectarian violence between Christians and Muslims.

Baadhi ya magazeti ya Tanzania, Jumatano, 08.05.2013












Monday, May 06, 2013

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akatiza ziara ya Kiserikali nchini Kuwait na kurudi nyumbani



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Mei 6, 2013, ameamua kukatiza ziara yake ya Kiserikali nchini Kuwait ili kurejea nyumbani kutokana na tukio la shambulio la kigaidi la mlipuko mjini Arusha ambako watu wawili wamefariki na 60 wamejeruhiwa.
Rais Kikwete aliyekuwa aondoke kesho kurejea nyumbani, kukatiza ziara hiyo na anaondoka Kuwait City kurejea nyumbani mara moja ili kuwa karibu na wafiwa pamoja na wale waliojeruhiwa katika shambulio hilo la kigaidi.
Miongoni mwa shughuli ambazo hazitafanyika sasa kutokana na uamuzi huo wa Rais ni ziara ya kutembelea Kampuni ya Mafuta ya Kuwait katika eneo la Ahmadi mjini Kuwait. Aidha, Rais hatahudhuria dhifa ya chakula cha jioni ambacho alikuwa anaandaliwa na Waziri Mkuu wa Kuwait, Mheshimiwa Sheikh Jaber Al Mubarak Al Hamad Al Sabah.

Sunday, May 05, 2013

TAMKO LA RAIS JAKAYA KIKWETE WA TANZANIA JUU YA MLIPUKO KWENYE KANISA KATOLIKI OLASITI JIJINI ARUSHA.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa ya tukio la leo, Jumapili, Mei 5, 2013 la mlipuko kwenye Kanisa Katoliki la Mt. Joseph Mfanyakazi la Olasiti Jijini Arusha.   

Tukio hilo la kigaidi limesababisha mtu mmoja kupoteza maisha na wengine 40 kujeruhiwa.  Rais Kikwete analaani vikali shambulio hilo lililofanywa na mtu au watu katili, waovu na wenye dhamira mbaya na nia mbaya kwa Tanzania na watu wake. 

Rais Kikwete ameagiza vyombo vya usalama nchini kumsaka mtu au watu waliohusika na kitendo hicho kiovu na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.  Vile vile Rais Kikwete amewataka wananchi wote kuwa watulivu wakati Serikali na vyombo vyake inaendelea kufuatilia tukio hili. 

Tutawasaka popote walipo na kupambana nao bila huruma.  Aidha, tutakabiliana na aina yoyote ya uhalifu nchini iwe ni ugaidi au aina yoyote ya uhalifu wa namna hiyo au wa namna nyingine, uwe na chimbuko lake ndani ya nchi ama nje ya nchi yetu.  

Kamwe hatutakubali kuwaacha wavuruge amani na usalama wa Tanzania na watu wake. Rais anaamini kuwa Serikali, kwa msaada na ushirikiano wa wananchi, watu hao watapatikana na kuadabishwa ipasavyo.

Aidha, Rais Kikwete anatoa rambirambi za dhati ya moyo wake kwa wafiwa na wale wote ambao wamejeruhiwa katika tukio hilo. Anaungana nao katika machungu na msiba. Rais pia anawaombea wote walioumia katika tukio hili wapate nafuu ya haraka na waendelee na shughuli zao za ujenzi wa taifa.

Rais Kikwete vilevile anatoa pole nyingi kwa viongozi na waumini wa Kanisa Katoliki kwa tukio hili la kusikitisha na kuvurugika kwa ibada na shughuli yao muhimu ya uzinduzi wa Kanisa lao.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
IKULU,
DAR ES SALAAM
5 Mei, 2013



Baadhi ya magazeti Tanzania, Jumapili 5.Mei 2013










JINAMIZI la kashfa za ufisadi limeendelea kuwaandama Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye sasa ni Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), kuwa ndio waliouza nchi katika utawala wao.

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ndiye aliyewataja viongozi hao kuuza nchi kwa wageni wanaochimba madini yanayowanufaisha zaidi wageni kuliko Watanzania.

Profesa Lipumba alitoa kauli hiyo jana jijini Mwanza alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa Tanzania Daima Jumapili, muda mfupi baada ya kuahirishwa kwa muda mkutano wa kujadili na kuchangia mawazo juu ya maendeleo kwa wote katika Mkoa wa Mwanza.

“Kizazi hiki na kijacho viwatupie lawama Mkapa na Chenge, hawa wameliingiza taifa kwenye mikataba ya unyonyaji ya sekta ya madini inayowaneemesha zaidi Wazungu wanaojua thamani na umuhimu wa dhababu kuliko Watanzania wenye ardhi inayotoa madini husika,” alisema.

Alibainisha kuwa Tanzania inatafunwa na saratani mbaya ya mikataba mibovu ya madini iliyoasisiwa na Mkapa kwa kushirikiana na Chenge katika utawala wa Awamu ya Tatu iliyosifika kwa sera ya ubinafsishaji wa mali za umma zilizokabidhiwa kwa wawekezaji wengi wao kutoka nje ya nchi.

Utumwa Wa Mihadarati - tatizo la vijana si Kenya tu ni la Afrika Mashariki na sehemu nyingi tu duniani


Kenya imekuwa ikipigana na janga la dawa za kulevya ambazo zinaonekana kuwa kero huku vita dhidi ya dawa hizo vikionekana kutozaa matunda. Wiki moja tu baada ya runinga ya K24 kuangazia kero la dawa hizo huko Mombasa ambapo vijana wanajidunga hata sehemu za siri kwa kukosa mishipa, sasa tumebaini kuwa janga hilo limekolea hadi hapa jijini Nairobi huku vijana ambao wanataka kukoma kuwa waraibu na walanguzi wakikumbwa na changamoto si haba,zikiwemo changamoto za kiafya.

Kukosekana kwa ajira hakumlemazi kiuchumi Ayub Simba


Tafakari haya, unaishi katika mtaa wa mabanda, una mke na watoto wawili, na huna ajira. Watoto hawa wanahitaji mavazi na lishe ya kila siku. Ndiyo maisha ambayo Ayub Simba mkazi wa Kariobagi humu jijini Nairobi anakumbana nayo kila uchao. Simba anajitahidi kadri ya uwezo wake kuhakikisha kuwa anakidhi mahitaji ya familia yake.


Tuesday, April 30, 2013

Chege na Ommy Dimpoz, Friday 10th May 2013 at Slurpen, Lakkegata 79B, Oslo



“Income Tax Return = ITR.”


Jumanne tarehe

30 Aprili 2013
ni siku ya mwisho

ya kurudisha:

Taarifa kuhusu mapato

yanayostahili kutozwa kodi

“Income Tax Return = ITR.”

Angalia vizuri mapato yako,

madeni yanayostahili

kuingizwa kwenye

hizo taarifa, n.k.

Linganisha na fomu ya

kodi ya mapato,

tulizotumiwa mwanzoni

mwa mwaka,

kabla hujarudisha “ITR”

Saa 5.59 usiku (23.59 CET),

ni saa ya mwisho ya

kurudisha ”ITR”.

Unaweza kuirudisha

kieletroniki.
Kama huna cha kuongeza, huhitaji kurudisha inakuwa ni automatiki. Lakini ni bora kuirudisha tu!

Angalia:



au kwa SMS na. 02111 kama tayari una nywila
(koda) toka skatteetaten.

maelezo ya ziada wapigie
simu na. 800 80 000

Kila la heri!!!

Monday, April 29, 2013

Mei Mosi Party at Opera Bar Oslo, Tuesday 30th April 2013


 
KARIBUNI KWENYE SHEREHE YA MKESHA WA SIKU KUU YA WAFANYAKAZI.
MEI MOSI PARTY ON 30-APRIL-2013
 
LIVE OMMY DIMPOZ FROM TANZANIA

Mziki wa kizazi kipya Bongo Flava rekodi za leo leo si mchezo.

 Entre: Kroner 150,-
 
From 20:00 til 03:30

           Adress:- Strand gate 19 Opera Bar Oslo Norway

         Contact:- +47 96872483 Dj Pred Pro a.k.a  Mpily.
 
 


By Gado


 
 


Saturday, April 27, 2013

Tanzania´s National Day Party (Muungano) at Slurpen Festlokale, Friday 26th April 2013









Mwenyekiti wa Chama cha Watanzania Oslo, Dr. Titus Sendeu Tenga akitoa hotuba. 


Rais wa TASAO (Tanzanian Students Ossociation Oslo), Ndg. Hatibu Mgeja akitoa hotuba. 


Dada Aisha S. akiwaimbisha watu wimbo wa taifa. 

Mheshimiwa Balozi Muhammed Mzale, balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic (Norway, Finland, Sweden, Denmark, Iceland  na Faeroe) na za Baltic  (Estonia, Latvia na Lithuenia) akifungua ukumbi 



Msanii wa BongoFlava; Chege akifanya vitu vyake 
































Henry Joseph (Mwanasoka wa kulipwa Mtanzania anayechezea timu ya Kongsvinger), Dr. Titus Tenga na Balozi Mzale


DJ. Humphrey 






Chege