.
Monday, May 20, 2013
Sunday, May 19, 2013
Saturday, May 18, 2013
Friday, May 17, 2013
Gratulerer med dagen!
The Norwegian Constitution Day is the National Day of Norway and is an official national holiday each year. Among Norwegians, the day is referred to simply as syttende mai (meaning May Seventeenth), Nasjonaldagen (National Day) or Grunnlovsdagen (Constitution Day)
Historical background
The Constitution of Norway was signed at Eidsvoll on May 17 in the year 1814. The constitution declared Norway to be an independent nation.
The celebration of this day begun spontaneously among students and others from early on, and for some years the king was reluctant to allow the celebrations. For a couple of years in the 1820s, king Carl Johan actually forbade it, as he thought the celebrations a kind of protest and disregard - even revolt. The king's attitude changed slightly after the Battle of the Square in 1829, an incident which resulted in such a commotion that the King had to allow it.
It was, however, not until 1833, that anyone ventured to hold a public address on behalf of the day. That year, official celebration was initiated by the monument of the late politician Christian Krogh, known to have stopped the King from gaining too much personal power. The address was held by Henrik Wergeland, thoroughly witnessed and accounted for by a Swedish spy, sent by the King himself.
It was, however, not until 1833, that anyone ventured to hold a public address on behalf of the day. That year, official celebration was initiated by the monument of the late politician Christian Krogh, known to have stopped the King from gaining too much personal power. The address was held by Henrik Wergeland, thoroughly witnessed and accounted for by a Swedish spy, sent by the King himself.
Tuesday, May 14, 2013
Lake Malawi dispute: Tanzania, M23, and the greed it will ‘suffer’ for - Jinsi Wamalawi wanavyoiandika Tanzania.
I may be Malawian and full of life, but am never
a prophet of doom. However, it is starting to smell like Tanzania, our dear and
long stood cousin-neighbor to the North-East, will end up reddening its once
peaceful country if it continues to develop its greedy tendencies over
resources that may never belong to them at all. We are
all aware, and I am very mindful, that there are current negotiations with
former Mozambique leader, Joachim Chisiano, at the helm, as Malawi and Tanzania
like the ostrich continue to bury their heads in the sand, refusing to listen
to each others’ arguments. To be precise, it is Tanzania that is playing the
ostrich, for neither a drop of Lake Malawi and a resource from within Malawi’s
borders has ever and will ever be for the former Mussolini/Hitler colony.
Ah-hash!!...
Read more: Nyasa
Times
Saturday, May 11, 2013
Thursday, May 09, 2013
Wednesday, May 08, 2013
UAE Says 3 Citizens
Suspected in Tanzania Bombing
The United
Arab Emirates says three of its citizens are in custody in Tanzania in
connection with a church bombing that killed two people and injured more than
50 others.
The UAE Foreign Ministry did not make clear whether the three were additional suspects in Sunday's attack in the northern city of Arusha, but it suggests they are among four alleged attackers originally identified as Saudis.
Wednesday's statement said the three men were being held in Dar es Salaam.
A total of six people have been arrested in the bombing, which occurred just before the Roman Catholic church's inaugural Mass.
The reason for the attack is still unclear, but Tanzania has been hit by sectarian violence between Christians and Muslims.
The UAE Foreign Ministry did not make clear whether the three were additional suspects in Sunday's attack in the northern city of Arusha, but it suggests they are among four alleged attackers originally identified as Saudis.
Wednesday's statement said the three men were being held in Dar es Salaam.
A total of six people have been arrested in the bombing, which occurred just before the Roman Catholic church's inaugural Mass.
The reason for the attack is still unclear, but Tanzania has been hit by sectarian violence between Christians and Muslims.
Monday, May 06, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akatiza ziara ya Kiserikali nchini Kuwait na kurudi nyumbani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete leo, Jumatatu, Mei 6, 2013, ameamua kukatiza ziara yake ya Kiserikali
nchini Kuwait ili kurejea nyumbani kutokana na tukio la shambulio la kigaidi la
mlipuko mjini Arusha ambako watu wawili wamefariki na 60 wamejeruhiwa.
Rais Kikwete aliyekuwa aondoke kesho kurejea nyumbani, kukatiza ziara
hiyo na anaondoka Kuwait City kurejea nyumbani mara moja ili kuwa karibu na
wafiwa pamoja na wale waliojeruhiwa katika shambulio hilo la kigaidi.
Miongoni mwa shughuli ambazo hazitafanyika sasa kutokana na uamuzi huo
wa Rais ni ziara ya kutembelea Kampuni ya Mafuta ya Kuwait katika eneo la
Ahmadi mjini Kuwait. Aidha, Rais hatahudhuria dhifa ya chakula cha jioni
ambacho alikuwa anaandaliwa na Waziri Mkuu wa Kuwait, Mheshimiwa Sheikh Jaber
Al Mubarak Al Hamad Al Sabah.
Sunday, May 05, 2013
TAMKO LA RAIS JAKAYA KIKWETE WA TANZANIA JUU YA MLIPUKO KWENYE KANISA KATOLIKI OLASITI JIJINI ARUSHA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa
taarifa ya tukio la leo, Jumapili, Mei 5, 2013 la mlipuko kwenye Kanisa
Katoliki la Mt. Joseph Mfanyakazi la Olasiti Jijini Arusha.
Tukio hilo la kigaidi limesababisha mtu mmoja
kupoteza maisha na wengine 40 kujeruhiwa. Rais Kikwete analaani vikali
shambulio hilo lililofanywa na mtu au watu katili, waovu na wenye dhamira mbaya
na nia mbaya kwa Tanzania na watu wake.
Rais Kikwete ameagiza vyombo vya usalama nchini
kumsaka mtu au watu waliohusika na kitendo hicho kiovu na kuwafikisha kwenye
vyombo vya sheria. Vile vile Rais Kikwete amewataka wananchi wote kuwa
watulivu wakati Serikali na vyombo vyake inaendelea kufuatilia tukio hili.
Tutawasaka popote walipo na kupambana nao bila
huruma. Aidha, tutakabiliana na aina yoyote ya uhalifu nchini iwe ni
ugaidi au aina yoyote ya uhalifu wa namna hiyo au wa namna nyingine, uwe na
chimbuko lake ndani ya nchi ama nje ya nchi yetu.
Kamwe hatutakubali kuwaacha wavuruge amani na
usalama wa Tanzania na watu wake. Rais anaamini kuwa Serikali, kwa msaada na
ushirikiano wa wananchi, watu hao watapatikana na kuadabishwa ipasavyo.
Aidha, Rais Kikwete anatoa rambirambi za dhati ya
moyo wake kwa wafiwa na wale wote ambao wamejeruhiwa katika tukio hilo.
Anaungana nao katika machungu na msiba. Rais pia anawaombea wote walioumia
katika tukio hili wapate nafuu ya haraka na waendelee na shughuli zao za ujenzi
wa taifa.
Rais Kikwete vilevile anatoa pole nyingi kwa
viongozi na waumini wa Kanisa Katoliki kwa tukio hili la kusikitisha na
kuvurugika kwa ibada na shughuli yao muhimu ya uzinduzi wa Kanisa lao.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
IKULU,
DAR ES SALAAM
5 Mei, 2013
JINAMIZI la kashfa za ufisadi limeendelea
kuwaandama Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa na aliyekuwa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye sasa ni Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew
Chenge (CCM), kuwa ndio waliouza nchi katika utawala wao.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa
Ibrahim Lipumba, ndiye aliyewataja viongozi hao kuuza nchi kwa wageni
wanaochimba madini yanayowanufaisha zaidi wageni kuliko Watanzania.
Profesa Lipumba alitoa kauli hiyo jana jijini
Mwanza alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa Tanzania Daima Jumapili, muda
mfupi baada ya kuahirishwa kwa muda mkutano wa kujadili na kuchangia mawazo juu
ya maendeleo kwa wote katika Mkoa wa Mwanza.
“Kizazi hiki na kijacho viwatupie lawama Mkapa na
Chenge, hawa wameliingiza taifa kwenye mikataba ya unyonyaji ya sekta ya madini
inayowaneemesha zaidi Wazungu wanaojua thamani na umuhimu wa dhababu kuliko
Watanzania wenye ardhi inayotoa madini husika,” alisema.
Alibainisha kuwa Tanzania inatafunwa na saratani
mbaya ya mikataba mibovu ya madini iliyoasisiwa na Mkapa kwa kushirikiana na
Chenge katika utawala wa Awamu ya Tatu iliyosifika kwa sera ya ubinafsishaji wa
mali za umma zilizokabidhiwa kwa wawekezaji wengi wao kutoka nje ya nchi.
Utumwa Wa Mihadarati - tatizo la vijana si Kenya tu ni la Afrika Mashariki na sehemu nyingi tu duniani
Kenya imekuwa ikipigana na janga la dawa za kulevya ambazo zinaonekana kuwa kero huku vita dhidi ya dawa hizo vikionekana kutozaa matunda. Wiki moja tu baada ya runinga ya K24 kuangazia kero la dawa hizo huko Mombasa ambapo vijana wanajidunga hata sehemu za siri kwa kukosa mishipa, sasa tumebaini kuwa janga hilo limekolea hadi hapa jijini Nairobi huku vijana ambao wanataka kukoma kuwa waraibu na walanguzi wakikumbwa na changamoto si haba,zikiwemo changamoto za kiafya.
Kukosekana kwa ajira hakumlemazi kiuchumi Ayub Simba
Tafakari haya, unaishi katika mtaa wa mabanda, una mke na watoto wawili, na huna ajira. Watoto hawa wanahitaji mavazi na lishe ya kila siku. Ndiyo maisha ambayo Ayub Simba mkazi wa Kariobagi humu jijini Nairobi anakumbana nayo kila uchao. Simba anajitahidi kadri ya uwezo wake kuhakikisha kuwa anakidhi mahitaji ya familia yake.
Thursday, May 02, 2013
Wednesday, May 01, 2013
Tuesday, April 30, 2013
“Income Tax Return = ITR.”
Jumanne tarehe
30 Aprili 2013
ni siku ya mwisho
ya kurudisha:
Taarifa kuhusu mapato
yanayostahili kutozwa kodi
“Income Tax Return = ITR.”
Angalia vizuri mapato yako,
madeni yanayostahili
kuingizwa kwenye
hizo taarifa, n.k.
Linganisha na fomu ya
kodi ya mapato,
tulizotumiwa mwanzoni
mwa mwaka,
kabla hujarudisha “ITR”
Saa 5.59 usiku (23.59 CET),
ni saa ya mwisho ya
kurudisha ”ITR”.
Unaweza kuirudisha
kieletroniki.
Kama huna cha kuongeza, huhitaji kurudisha inakuwa ni automatiki. Lakini ni bora kuirudisha tu!
Angalia:
au kwa SMS na. 02111 kama tayari una nywila
(koda) toka skatteetaten.
maelezo ya ziada wapigie
simu na. 800 80 000
Kila la heri!!!
Monday, April 29, 2013
Mei Mosi Party at Opera Bar Oslo, Tuesday 30th April 2013
KARIBUNI KWENYE SHEREHE YA MKESHA WA SIKU KUU YA WAFANYAKAZI.
MEI MOSI PARTY ON 30-APRIL-2013
MEI MOSI PARTY ON 30-APRIL-2013
LIVE OMMY DIMPOZ FROM TANZANIA
Mziki wa kizazi kipya Bongo Flava rekodi za leo leo si mchezo.
Entre: Kroner 150,-
Mziki wa kizazi kipya Bongo Flava rekodi za leo leo si mchezo.
Entre: Kroner 150,-
From 20:00 til 03:30
Adress:- Strand gate 19 Opera Bar Oslo Norway
Contact:- +47 96872483 Dj Pred Pro a.k.a Mpily.
Adress:- Strand gate 19 Opera Bar Oslo Norway
Contact:- +47 96872483 Dj Pred Pro a.k.a Mpily.
Sunday, April 28, 2013
Saturday, April 27, 2013
Tanzania´s National Day Party (Muungano) at Slurpen Festlokale, Friday 26th April 2013
Mwenyekiti wa Chama cha Watanzania Oslo, Dr. Titus Sendeu Tenga akitoa hotuba.
Rais wa TASAO (Tanzanian Students Ossociation Oslo), Ndg. Hatibu Mgeja akitoa hotuba.
Dada Aisha S. akiwaimbisha watu wimbo wa taifa.
Mheshimiwa Balozi Muhammed Mzale, balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic (Norway, Finland, Sweden, Denmark, Iceland na Faeroe) na za Baltic (Estonia, Latvia na Lithuenia) akifungua ukumbi
Msanii wa BongoFlava; Chege akifanya vitu vyake
Henry Joseph (Mwanasoka wa kulipwa Mtanzania anayechezea timu ya Kongsvinger), Dr. Titus Tenga na Balozi Mzale
DJ. Humphrey
Chege
Subscribe to:
Posts (Atom)
























