Wednesday, December 12, 2018




Kwa Watanzania na wenye nasaba na asili ya Tanzania duniani


Tunapenda kukujulisha kuwepo kwa Baraza la Diaspora kwa Watanzania Duniani. Lengo la Baraza ni kuwaunganisha diaspora wote  wa Kitanzania ktk taasisi moja ili kupata taarifa mbalimbali zinazowahusu diaspora wa Tanzania kwa haraka na kushauriana kuhusu mahitaji ya diaspora na jinsi ya kuyatetea.  Kupata taarifa hizo bonyeza Link hii 


Kujiunga na Baraza bonyeza link hii http://www.tdcglobal.org/member-register/

Karibu sana

NB:Ukipatwa na tatizo lolote kwenye kujiunga piga simu
+47 46 21 86 09

Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzako.

Agnes Lerdorf 
Kamati ya Mahusiano na Umma

Tanzania Global Diaspora Council
Pamoja Tunaweza - Mtu Kwao Ndio Ngao




Wednesday, December 21, 2016


Norway - Changes in the government




Press release | Published: 2016-12-20
| No: 129/16
In a session of the Council of State today, the King has made changes in the Government.

Mr. Frank Bakke-Jensen, Member of Parliament, has been appointed Minister of EEA and EU Affairs in the Ministry of Foreign Affairs.

Mr. Terje Søviknes, Mayor, has been appointed Minister of Petroleum and Energy.

Mr. Per-Willy Trudvang Amundsen, State Secretary, has been appointed Minister of Justice and Public Security.

At the same time, Ministers Elisabeth Vik Aspaker, Anders Anundsen and Tord Lien have been honourably discharged from their offices.

The changes are active as of 18.00 hours today, 20 December 2016.

The Government represents the Conservative Party (C) and the Progress Party (PrP):

Prime Minister
Ms. Erna Solberg (C)

Minister of Finance
Ms. Siv Jensen (PrP)

Minister of Local Government and Modernisation
Mr.Jan Tore Sanner (C)

Minister of Transport and Communication
Mr. Ketil Solvik-Olsen (PrP)

Minister of Foreign Affairs
Mr. Børge Brende (C)

Minister of Trade and Industry
Ms. Monica Mæland (C)

Minister of Climate and Environment
Mr. Vidar Helgesen (C)

Minister of Children and Equality 
Ms. Solveig Horne (PrP)

Minister of Health and Care Services
Mr. Bent Høie (C)

Minister of Defence
Ms. Ine Eriksen Søreide (C)

Minister of Immigration and Integration
Ms. Sylvi Listhaug (PrP)

Minister of Education and Research
Mr. Torbjørn Røe Isaksen (C)

Minister of Fisheries
Mr. Per Sandberg (PrP)

Minister of Labour and Social Affairs
Ms. Anniken Hauglie (C)

Minister of Culture
Ms. Linda Hofstad Helleland (C)

Minister of Agriculture and Food
Mr. Jon Georg Dale (PrP)

Minister of EEA and EU Affairs,
also minister of Nordic cooperation affairs

Mr. Frank Bakke-Jensen (C)

Minister of Petroleum and Energy
Mr. Terje Søviknes (PrP)

Minister of Justice and Public Security
Mr. Per-Willy Trudvang Amundsen (PrP)





Saturday, December 03, 2016

Tafrija siku ya Uhuru na Jamhuri, Jumamosi, 10.Desemba 2016



Mgeni wetu rasmi katika siku ya maaadhimisho ya sherehe za Uhuru na Jamhuri zitakazofanyika Jumamosi, tarehe 10.12.2016 katika ukumbi wa Taytu Etiopiske Restaurant, Tøyengata 2, Oslo atakuwa ni Balozi wetu wa Tanzania katika nchi za Scandinavia na zile za Baltic,
ndugu yetu mpendwa 
Balozi Dora Mmari Msechu.

Sherehe zinatarajiwa kuanza rasmi majira ya saa mbili na nusu hadi saa tisa usiku (20:30-03:00 Central European Time).

Kutakuwa na mengi na mazuri ya kushirikishana hivyo tunaombwa sana kujumuika wote kwa wingi wetu katika hili.

Karibuni nyote.

Chama cha Watanzania Oslo



Saturday, September 26, 2015

Rais Jakaya Kikwete alipokutana na baadhi ya viongozi mjini New York, Marekani kwenye mkutano mkuu wa 70 wa Umoja wa Mataifa.


Rais Jakaya Kikwete na kiongozi wa Ujerumani, Bi.Angla Merkel.


Rais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu wa Denmark, Bw.Lars Løkke Rasmussen.


Rais Kikwete na Waziri Mkuu wa Bahamas, Bw. Perry Christie.

 
Rais Kikwete na Rais Mstahafu wa Finland,  Bi.Tarja Halonen.


 Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete na wa Msumbiji Bw. Felipe Jacinto Nyusi wakiwa pamoja na mawaziri wao wa mambo ya nchi za nje mjini New York.



Sunday, May 24, 2015

SWAHILI DAY - Saturday, 13th June, 2015 in Stockholm




The Embassies of KenyaTanzaniaRwandaDemocratic Republic of Congo and Mozambique will hold a 
Swahili Day cultural event on

Saturday 13th.June, 2015 in Stockholm.

Venue: Bergshamra Skola, Hjortstigen 1, Bergshamra Solna.

Time:
 13.00hrs to 20.00hrs

The purpose of the event is to celebrate and showcase Swahili culture. Activities will include brief speeches, poetry, live music and dance, display of Swahili food, fashion and literature.

 The theme for the 2015 Swahili Day is: 

Women in Swahili Culture'. 

We believe that promoting interaction and exchanges between different cultures creates an added avenue for enriching diversity and understanding.

It is against this background that the Heads of Mission of these Embassies extend their invitation to this occasion.

ALL ARE WELCOME   KARIBUNI !!!!