Jakaya Kikwete ziarani Bukoba.


jk akimpongeza Sheikh Mustapha Khalid Swidia, mkuu wa Madrasati Phalahi iliyopo Katoro, wilaya ya Bukoba vijijini, muda mfupi baada ya jk s kufungua madarasa mapya yatakayotumika kama sekondari mapya ya kiislam. Hafla ya uzinduzi huo ilifaynika katika eneo la Katoro .Rais Kikwete yupo mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi ya wiki moja kukagua maendeleo ya miradi mbalimbali na kufungua miradi mipya.

Baadhi ya Wanafunzi wa Kike wanaosoma katika sekondari mpya iliyopo chini ya Madrasati Phalahi Katoro wiklaya ya Bukoba vijijini waliohudhuria hafla ya ufunguzi uliofanywa na jk huko Katoro.
Picha na habari:
http://issamichuzi.blogspot.com/
No comments:
Post a Comment