
Kundi C
Sweden 2 = Ugiriki 0
Mabingwa wa Ulaya (mwaka 2004) Ugiriki wameshindwa kuonyesha makali yaliyowafanya wawe mabingwa miaka minne iliyopita, baada ya kufungwa na Sweden (Blågult /yellow and blues) magoli 2 – 0. Goli la kwanza
Hispania 4 =
Hispania ni timu inayopewa nafasi kubwa ya kunyakua ubingwa wa mataifa ya Ulaya mwaka huu. Ikicheza na wachezaji vijana na maarufu kama Fernando Torres; Cesc Fabregas, Raul na David Villa wameifunga Urusi magoli 4 – 1. Magoli ya Hispania yalifungwa na David Villa (magoli 3) na Cesc Fabregas (goli 1). Goli la kufutia machozi
No comments:
Post a Comment