Polisi kuendelea kumchunguza
Kubenea...Adaiwa kusambaza
akaunti za watu kwenye
mtandao...Wateja waijia
juu NBC, mfanyakazi
wake ahojiwa
IJUMAA 18, 2008, Tanzania kwa mara nyingine tena imeshuhudia uhuru wa habari ukiminywa na watawala. Gazeti hili la wananchi lilivamiwa na makachero na kufanya upekuzi kutokana na kile walichoita polisi, “kutafuta akaunti za siri za serikali na viongozi wake.”
Aidha, upekezi ulifanyika pia nyumbani kwa Mkurugenzi Mtendaji na Mhariri Mtendaji wa magazeti hayo, Saed Kubenea.
MwanaHALISI na wote wanaoipenda Tanzania wanalaani kwa nguvu zote uvamizi huo.
No comments:
Post a Comment