Siri za maisha ya wabongo
Na Mwandishi Wetu
Staili ya maisha ya Watanzania wanaoishi Ulaya na nchi nyingine za ughaibuni ni starehe tupu.Uchunguzi, uliofanywa na gazeti hili kwa kuongea na baadhi ya Wabongo waliotembelea nchi za mbali pamoja na ufuatiliaji wa karibu wa matukio katika mitandao ya intaneti, unaonesha kwamba Watanzania hasa wanaioshi Ulaya, maisha yao yamejaa anasa...
4 comments:
Haya magazeti ya udaku yanapaswa kufanya "research" ya hali ya juu wanapoandika mada kama hizi, badala ya kusikiliza maneno ya mtu mmoja au wawili na kuandika tu.....
Ndio maana yanaitwa ya udaku. Yadakia mambo na kuandika...
Kuna ubaya gani wasijitanue? Kwa sababu wanaishiUlaya ndo´wajinyime? Kuishi ni kokote kule. Wanaotaka kujitanua wajitanue, wanaonyima wakiwa majuu, halafu wakatanue nyumbani waache wafanye hivyo. Dunia ya utandawazi....
Ntimanyongo za Wabongo..period!!!
Post a Comment