Friday, July 31, 2009


WAR ON CORRUPTION:

Speaker fears for his safety



THE Speaker of the National Assembly, Samwel Sitta, announced in parliament yesterday that he now fears for his physical safety after increasingly becoming targeted by political enemies aligned with forces of corruption in the country. In an unprecedented move, Sitta directly asked Prime Minister Mizengo Pinda to provide him with extra security protection, saying he could be in real danger.

’’Honourable Prime Minister, I request extra security protection. This is a very big war,’’ he declared in parliament…..more>>>>>






SPIKA wa Bunge Samuel Sitta ameiomba Serikali kumwongezea ulinzi kwa kuwa mafisadi wameongeza nguvu ya vita dhidi yake.

Spika Sitta alisema hayo alipokuwa akizungumzia tuhuma dhidi yake, zilizoripotiwa jana na baadhi ya vyombo vya habari (sio Mwananchi) kuwa anafanya njama kuchoma nyaraka za Bunge.....bofya na endelea>>>>>

Uhuru

SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, ameiomba serikali kumuongezea ulinzi kutokana na kile alichosema kuongezeka kwa maadui wake. Alisema hayo bungeni jana, baada ya kipindi cha maswali na majibu.

Kwa mujibu wa Spika, kumejitokeza kundi la watu ambao wamekuwa wakitoa taarifa mbalimbali na kumtuhumu kuhusika na matumizi mabaya ya fedha za Bunge.....bofya na endelea>>>>>

iPhone 3 G S

yaanza kuuzwa leo




Kampuni za simu za Telenor na NetCom zimeanza kuuza iPhone 3 G S leo hapa Norway. Inagharimu hela nyingi kama mtu akitaka kuinunua taslimu. Vinginevyo, lazima mtu aiingie mkataba wa mwaka mmoja na moja ya kati ya hizo kampuni, na kulipa kiasi flani kila mwezi kwa kipindi cha miezi 12.


Ustaz Mohammed Yusuf:

kiongozi wa Boko Haram

auawa akiwa lupango

mjini Maiduguri




Ramani ya Naijeria na majimbo 37



Kiongozi wa kikundi kimoja cha Waislam wenye siasa kali nchini Naijeria, kiitwacho Boko Haram (maana yake “elimu ya magharibi ni haramu”), Ustaz Mohammed Yusuf ameuawa akiwa chini ya ulinzi wa polisi mjini Maiduguri. Hayo yalithibitishwa na Kamanda Isa Azare wa kamandi kuu ya polisi ya Maiduguri, alipoliambia shirika la habari la Reuters.



Fujo za Boko Haram zilianza Jumapili iliyopita kwenye jimbo la Bauchi, kabla ya kuenea kwenye majimbo mengine ya kaskazini mashariki ya Naijeria. Mapigano baina ya polisi wakishirikiana na jeshi la Naijeria na wafuasi wa Boko Haram, yamesababisha vifo vya watu zaidi ya mia sita. Juzi Jumatano jioni, askari jeshi walivamia ngome ya Boko Haram, na kuwauwa wafuasi wengi Boko Haram na kuwafanya wengine wakimbie. Jana Alhamisi, Mohammed Yusuf alikamatwa na jeshi.



Kwenye mkutano wa pamoja kati ya idara ya usalama ya Naijeria (State Security Service), idara ya usalama ya jeshi la Naijeria (Defence Intelligence Agency), idara ya polisi na shirika la ujasusi la nchi hiyo (National Intelligence Agency), Kanali Mohammed Yerima (Mkurugenzi mkuu wa usalama jeshini) alisema kuwa kikundi hicho kimekuweko tangu mwaka 1995. Kimekuwa na majina mbalimbali toka kuanzishwa, mojawapo likiwa Ahlulsunna wal’jama’ah hijra. Jina la Boko Haram lilianza kutumika mwaka 2002 na Ustaz Mohammed Yusuf mjini Maiduguri kwenye jimbo la Borno. Mwaka 2004 walihamia mji wa Kanamma kwenye jimbo la Yobe, walipoanzisha ngome yao wakaipa jina “Afghanistan”. Ndipo walipoanza kushambulia vituo vya polisi na kuua polisi kila walipopata nafasi. Boko Haram kimekuwa kikijulikana kama “Taliban wa Naijeria”



Kwenye jimbo la Bauchi, Boko Haram walikataa katakata kujumuika na watu wengine, wakiwemo Waislam wa kawaida. Baadhi ya wafuasi wao wanatoka kwenye nchi za jirani za Chad na Niger. Boko Haram hawataki elimu ya vitabu, sayansi na utamaduni wa nchi za magharibi. Na lengo lao ni kuiangusha serikali kuu ya Naijeria na kuanzisha sheria kali za kiislam kwenye majimbo yote 37 ya Naijeria.



Ustaz Mohammed Yusuf (39) alikuwa na elimu ya juu na ameacha wajane wanne.


Kilimanjaro is among the

“7 Wonders of Nature” poll





GENEVA - The Grand Canyon and the Great Barrier Reef are competing with 26 other spectacular natural landmarks in the final phase of the global poll to choose the "New 7 Wonders of Nature," organizers said Tuesday.

The Amazon rain forest, the Dead Sea, Mount Kilimanjaro in Africa and Ecuador's Galapagos islands are also among the finalists, according to the organization New 7 Wonders led by Swiss adventurer Bernard Weber.

People can vote by Internet or phone. The winners will be announced in 2011 and share in the glory already enjoyed by the seven man-made wonders chosen two years ago…..more>>>>>



Duh! mbavu ziliwauma!

Walokole walikuwa wanapita mtaani, ghafla wakamkuta mlevi mtaroni kajilaza utadhani yuko kwake. Wakaanza kumwombea, alipozinduka wakamuuliza, je wamjua YESU? Mlevi akajibu hataa! mimi ni mgeni mtaa huu!.


Aliyepanda treni siyo msafiri

Wadada wawili katika Jiji la Mbeya walikwenda stesheni ya treni kwa lengo la kusafiri, walipofika wakakuta treni inaondoka, wakaikimbiza, mmoja akapanda mwingine akashindwa na kubaki akicheka, watu wakabaki wakimshangaa na kumuuliza unacheka nini? Akajibu: Aliyepanda alikuwa ananisindikiza tu, mimi ndiye ninayesafiri.


Wanasiasa wazikwa hai

Ilikuwa ajali ya basi lilikuwa limejaza wanasiasa ambalo liliacha njia na kugonga mti katika shamba la mkulima. Baada ya mkulima huyo kuliona gari hilo, alisogelea eneo la tukio kuona nini kilitokea, alipowaona majeruhi wa ajali hiyo, alifanya kile alichostahili kufanya kwa nafasi yake. Siku chache baadaye, walifika polisi waliokuwa wamepata taarifa za kutokea kwa ajali, walimuuliza mkulima wako wapi wanasiasa waliopata ajali.


MKULIMA: Niliwafukia wote!

POLISI: Kwani walikufa?

MKULIMA: Baadhi yao waliniambia hawajafa lakini si unajua uongo wwao? Mimi nilifanya hivyo kwani walinidanganya kuwa hawajafa!A

Kutoka Global Publishers


Thursday, July 30, 2009

Hackers Could Control

iPhone With SMS Message




And the method is chillingly simple - a text message containing one square character .

Charlie Miller and Collin Mulliner say they have found a flaw in the way the phones handle text messages, which could allow hackers complete control of the handset.

The hack would come in the form of a burst of SMS messages which contain a single character.

They would let the hacker control dialling the phone, visiting websites, the phone's camera and also sending texts to other iPhones, allowing control of them as well.

Mr Miller said: "This is serious. The only thing you can do to prevent it is turn off your phone.

"Someone could pretty quickly take over every iPhone in the world with this."

Mr Mulliner told Sky News Online: "In the business world this could have high value, if you could stop decision makers making or receiving phone calls.

"Mobile security is really taking off so we are just the first to discover this bug. There is no way this would have stayed secret."

Mr Miller will reveal the flaw in the Apple phone during a speech to the Black Hat cybersecurity conference today.

He claims to have told Apple about the potential bug over a month ago, but the company still hasn't released a patch to combat the potential hacks.

Source: Yahoo! UK & Ireland



Hackers break into

MI5 web site




The MI5 web site hack revealed earlier today is unlikely to have caused a breach of national security, according to experts. Skip related content

A report in the Daily Express claimed that a hacking gang known as 'Team Elite' managed to break into the site, and alter it so that "the identity of visitors could be stolen and viruses downloaded on to their machines".

The report also quoted Tory MP Patrick Mercer as saying: "Having potentially highly classified information available to hackers is deeply concerning. The identity of agents and informers in terror groups such as Al Qaeda are held by MI5."

However, Sophos senior technology consultant Graham Cluley explained that the hackers were only able to compromise the details of those visiting the site, rather than any confidential MI5 data locked away in back-office systems.

"Frankly, there's a lack of information in this report to let us know just how big a security problem this was. The good news is that the authorities claim to have fixed the flaw, so visitors to the site are no longer at risk," wrote Cluley in a blog post.

"However, this is a timely reminder for all of us who have web sites - big and small - to make sure they are properly secured from attack."

Cluley recommended users to deploy content scanning technology that can detect whether a legitimate site has been compromised, and that site owners invest in scanning services to alert them if malicious code has been planted on their web pages.

Source: yahoo UK & Ireland

Amwagia mumewe maji

ya moto kwenye nanihii

baada ya kuchoshwa na

uzinzi wake…..



Afanya kama alivyofanya Lorena Bobbitt , mnakumbuka?


Emmanuel "Ojo" Ojofeitimi.


Mwanamke mmoja nesi mwenye miaka 67, Bi. Oyinda Ojofeitimi wa Milburn St. in Springfield Gardens, New York, amemwagia mumewe maji ya moto kwenye nanihii yake, baada ya kuchoshwa na tabia za uasherati za mumewe, Bw. Emmanuel “Ojo” Ojofeitimi (ambaye pia ni nesi, miaka 67). Bi. Oyinda alifanya kitendo hicho saa 12 za asubuhi juzi, wakati mumewe akiwa usingizini. Emmanuel aliamka na kulia kwa maumivu makali, akiweweseka bila kujua nini kimemsibu!

Bi. Oyinda alipiga mwenyewe simu na kuwataarifu polisi. Amewaambia polisi kuwa ni hivi karibuni amegundua tabia za uzinzi za mumwewe za miaka 20!!! Bi. Oyinda yuko nje kwa dhamana ya Dala 100 000 za Kimarekani (laki moja)

Mumewe amelazwa kwenye hospitali ya chuo kikuu cha Nassau. Bi. Oyanda ana asili ya visiwa vya Grenada, wakati “Ojo” ana asili ya Naijeria.

Vyanzo vya habari: New Yorks Daily News na New York Post.


Michael Jackson

akicheza na watoto wake

mara ya kwanza kuonekana






Video inaonyesha mfalme wa mziki Pop, Michael Jackson akicheza na watoto wake wawili Prince Michael (12) na Paris (11) wakati walipokuwa wadogo akionyesha jinsi alivyokuwa baba mwenye mapenzi kwa watoto wake.

Michael anaonekana akiimba na kucheza na watoto wake hao kwenye jumba lake la kifahari la Neverland lililopo California.



Kikwete:

Msinihusishe na kashfa ya Richmond


Kizitto Noya, Dodoma

SASA ni wazi kwamba sakata la Richmond limeingia katika hatua nyingine baada ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Ofisi Rais kutangaza kwamba, Rais Jakaya Kikwete hahusiki kwa namna yoyote na kashfa hiyo ambayo inaendelea kulitikisa taifa kwa muda sasa.

Hatua ya Rais Kikwete kutotaka kuhusishwa na kashfa hiyo ya Richmond kunazidi kuibua maswali mengi kutoka kwa wananchi kwamba, ni nini hatima ya mjadala huo ambao unazidi kupamba moto kila kukicha nje na ndani ya Bunge.....bofya na endelea>>>>



Dar es Salaam tycoons

linked to massive CIS fraud



-Believed to have forged documents,

signatures for both fictitious and

existing companies and directors


THISDAY REPORTER
Dar es Salaam



AT least two prominent Dar es Salaam-based business tycoons are alleged to have been involved in massive fraud behind the looting of more than 180bn/- from the Commodity Import Support (CIS) fund, it has been learnt…..more>>>>>



Uzushiiii!





TUKO kijiweni kama kawaida, tunawaza jinsi nji inavyokwenda, tunafikiria malumbano haya yanayoanzia makanisani na misikitini na kuangalia mustakabali wa nji hii, ambayo ina Serikali isiyo na dini lakini watu wake ni waumini na waamini na wengine watambikaji.

Haya yako juu ya vichwa vyetu, hivyo hayatumalizii muda wetu, kwa kuwa sisi wa vijiweni ni nadra kumsikia hata mmoja wetu akizungumzia kuwa siku moja atakuwa mjengoni pale, ajikamua, akijikakamua na kutunisha mishipa ya shingo kulalamikia yaliyoshindikana miaka hiyo…..bofya na endelea>>>>>

SAS cuts more jobs in Norway




A reduction in air travel is forcing Scandinavian airline SAS to cut between 200 and 250 jobs in the technical department this year, according to the newspaper Stavanger Aftenblad.

Most of those who will be laid off are today working in the maintenance deparment at Oslo Airport Gardermoen.

Director Per Magne Mathisen at SAS Technical Services Norway says the job cuts are caused by both a reduction in air travel, as well as reduced use of the MD-80 passenger aircraft.

- The MD-80 is an aircraft which demands a high level of maitenance, and reduced use means less demand for maintenance, Mathisen says.

Source: NRK/Norway Post


Wednesday, July 29, 2009

Siri za Meremeta mtandaoni





Ripoti ya kijarida cha Cheche za Fikra juu ya Meremeta imekamilika. Ina kurasa karibu 50 ikiambatanishwa na vielelezo lukuki ambavyo kwa wengi itakuwa ni mara ya kwanza kuviona hadharani, vielelezo ambavyo serikali yetu na baadhi ya wanasiasa mafisadi imefanya jitihada kubwa kuhakikisha havioni nuru ya siku kwa muda mrefu.

Ndani ya ripoti hii maswali kadhaa yanajibiwa kwa kina (mengine kwa kupita tu). Yanajibiwa si kwa ufundi wa hoja na uzuri wa ushawishi wa maneno bali kwa ushahidi mzito na vielelezo ambavyo vyenyewe peke yake vinatosha kabisa kufunga mjadala huu.

Tunaamini kuwa kama sisi Watanzania hatutasimama na kupinga mambo ya uovu yanayofanywa kwa jina letu basi watawala wetu wataendelea kufanya maovu kwa jina letu. Tunafuata mfano wa Wamarekani waliofichua na kukasirishwa na Ab Ghraib au Waisraeli waliojitokeza kupinga vitendo vya jeshi lao dhidi ya Wapalestina.
Tunaamini kwenye uovu, hakuna uzalendo wala undugu – there is no patriotism in the presence of evil! ….. bofya na angalia:

Jamii Forums

Forum Mwanakijiji



Waliolishwa limbwata la kasumba

wasumbuliwa kwelikweli



Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Mpenzi Frank,

Lo! Wiki nyingine inapita na mpenzi wangu uko mbali vilevile. Unaendeleaje mpenzi wangu? Lini utaweza kudandia gari la lumbesa uje tuonane? Huwezi kudandia mara moja maana wakipunguza lumbesa na wewe utaweza kupenya kama panya? Au vipi mpenzi? Mimi ni mzima hofu kwako tu mpenzi (na labda katika kuhofika nadhoofika pia)….bofya na edenelea>>>>>


Serikali ya Mapinduzi


yakiri Wapemba wengi kutoandikishwa





Vigogo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) wamekiri kuwa idadi kubwa ya watu walikwama kuandikishwa katika daftari la wapiga kura kisiwani Pemba kutokana na kutokuwa na vitambulisho vya Mzanzibari mkaazi.

Vitambulisho hivyo wameshindwa kuvipata kutokana na kutokuwa na vyeti vya kuzaliwa na hivyo kupoteza sifa za kusajiliwa kama Wazanzibari Wakaazi.

Hayo yalielezwaa na wakuu wa mikoa miwili ya Pemba walipokuwa wakizungumza na waandishi wa habari mjini Zanzibar jana.

Mkuu wa mkoa wa Kaskazini Pemba, Dadi Faki Dadi alisema serikali haina nia ya kumyima mtu haki yake ya kikatiba, isipokuwa inatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia katiba na sheria ya uchaguzi ya Zanzibar.

Aidha, Mkuu huyo wa mkoa alisema kumejitokeza tatizo kwa baadhi ya Wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara na nchi za Uarabuni kurejea kisiwani Pemba wakitaka kuandikishwa katika daftari hilo, kitendo ambacho alisema ni kinyume na katiba ya Zanzibar kwani mhusika anatakiwa awe ameishi kwa miaka mitano mfululizo.

Akizungumza katika mkutano huo, Mkuu wa mkoa wa Kusini Pemba, Juma Kasim Tindwa, alisema chama cha CUF tangu kuanzishwa mfumo wa vyama vingi vya siasa kimekuwa kikifanya udanganyifu kisiwani Pemba na kufanikiwa kunyakua majimbo yote ya uchaguzi.

CHANZO: NIPASHE

Dokta Cheni mgeni rasmi ktk

mnuso wa ubwete jioni ya

leo ndani ya Underground

Safari Disco Oslo Norway...





Tunayo furaha Kubwa sana kufikiwa na mgeni rasmi,

Doctor Cheni ambaye msaani mkali wa

kuigiza filam za Kitanzania

Yuko ndani ya Norway mjini Oslo kwa

ghafla basi nasi moja kwa moja tunampokea

kwa furaha Jioni ya leo aliomba awasalimie

Watanzania wote waishio Mjini hapa.

Dokta Cheni pia yuko na Movie yake mpya na

anapenda kuwaonyesha watanzania wote wa

Norway au Oslo jioni ya leo.

pia week hii ni yeye atakuwa V.I.P Guest ndani ya

Biblos on Friday 31. Aug Bila kuchelewa wahi

mapema ujionee maendeleo ya Watanzania wenye bidii...

Mahali ni

Bør & Børsen Thondeimveien 13

Oslo. Norway

Entre: 50 kr.

door open kl.21-03

Karibuni

Music ya Bongo Flavaz Swahili beat &

Zuku Rumba

By Dj Uncle Pred A.k.a Abdul.


Designer colonialism in the works?





Our is a free country, we are told. Got our independence from the Brits in 1961. Nice going it has been until now when I have noticed flashes of colonialism by other colonisers, wanting to steal the economic show in this land of ours. Designer colonialism!

Don‘t play the racist nonsense on me, because I think people of Asian origin are doing pretty fine in the re-colonisation process. They have got their hands firmly on the economy of Tanzania. They run the show. Most of the people of Bongo bitterly and loudly, resent this. But it all falls into deaf ears.

I once tried to be of ‘Asian origin’ Went to the Far East, ate plenty of pilipili. But that did not help. When I came back I asked for a loan from banks, hoping that a bit of Asia had brushed off me. I got a stiff ‘NO’. From Black Tanzanians banks demand for collateral. Things like your grand-mother’s grandmother who can write her resume in English!

All this and our politicians pretend to place agriculture on the top spot. How can you have heavy agriculture without empowering Black Tanzanians who live in Tanzania? It is just a big filthy joke!

If the government doesn’t want to do some thinking then some of us will. In every region you target Black Tanzanian clans who actually belong there. They will definitely have the land. Offer them loans to do heavy farming and monitor the results. If 60 per cent of them succeed, we are in business. They will immediately be role models of the next generation.

Right now, who is the role model for Tanzanian children? Shaileth Pragji Vithlani of the highly dubious radar, helicopter and other scandals repute?

Vithlani, who never attended the National Service in Tanzania, or elsewhere, has the distinction of equipping the Tanzanian military with everything short of soldiers. He put together military deals worth $250, with a lot of help from the Tanzanian government officials.

Maybe the country should give him a distinction as a super patriot. His main role is said to “sweeten” deals for key government functionaries. Says government official: “There is very little, if any, transparency in defense contracts because they are supposed to be matters of national national military secrets. This has provided perfect cover for corrupt practices.”

They are doing very fine, those guys of Asian origin. Right now the have reduced the Mikumi and the Selous game reserves to their personal abattoirs.

The Minister for Natural Resources and Tourism, Shamsa Mwangunga has told the Bunge that the two game reserves were leading in rampant poaching in the country courtesy to the, wait for it – “people of Asian origin”

Those types were busy hunting Africans to sell as slaves only 150 years ago. Now they are hunting everything which moves. “Poaching activities in Morogoro Region are common particularly with people of Asian origin. They are disturbing us. They are hunting everything.” She said.

She said the poachers have been arrested now and then, but they are released by the cops who are up to their necks in corruption. Most of the cases have ended up in melting in police hands. Of course the police chief, Saidi Mwema could rotate the entire police squad in Morogoro, but he is too busy with other, more pressing, duties.

It seems like we, Tanzanians think that we own this country.
For sure our designer colonialists know that they do!

From Adam Lusekelos blog


Egypt says Nile rights not negotiable






bofya na usome hii

http://watanzaniaoslo.blogspot.com/2009/06/je-tanzania-yatishiwa-na-misri-mhariri.html#links


ALEXANDRIA, Tuesday Egypt (Reuters): Egypt is working alongside other Nile Basin countries to reach a framework on use of river water for all states but will not compromise its historic rights, the country's water minister said on Monday.

Under a 1929 agreement, heavyweight Egypt has the right to veto projects upstream on the Nile that would affect its water share of 55.5 billion cubic metres a year, the lion's share of the river's total flow of around 84 billion cubic meters.

Nile Basin countries have been eager for a more equitable distribution of river water to support power generation projects and agricultural growth.

But with agriculture accounting for 83.3 percent of Egypt's water consumption in the fiscal year 2007/08, securing water is vital for the country's food security. Egypt has been cutting down on water-consuming crops such as rice, an Egyptian export, in order to save water.

Water Minister Mohamed Nasreddin Allam said it did not matter if other Nile Basin countries were not convinced of the rights given to Egypt, the most populous Arab country, in previous agreements.

"It doesn't matter if they are convinced. It matters that we are convinced," Allam told reporters on the sidelines of the 17th meeting of water ministers of the Nile Basin Initiative.

The 1929 agreement was signed between Egypt and Great Britain, which at the time was acting on behalf of its east African colonies. The 1959 Egypt, Sudan agreement acts as a supplement to the previous accord and gives Egypt the right to 55.5 billion cubic metres of Nile water a year.

Resentments

Both agreements have created resentment among other Nile states and calls for changes to the pact, resisted by Egypt.

A meeting of Nile Basin water ministers that took place in the Democratic Republic of the Congo in May fell through when Egypt refused to sign a new framework governing the Nile River.

"The main hurdle is water security and the historic rights of Egypt and Sudan," Allam said.

The World Bank and other donor countries to the Nile Basin Initiative, a cooperative commission formed in 1999 bringing together nine Nile states, sent a letter on June 29 to all relevant parties expressing concern with the outcome of the Kinshasa meeting.