Wednesday, December 12, 2018




Kwa Watanzania na wenye nasaba na asili ya Tanzania duniani


Tunapenda kukujulisha kuwepo kwa Baraza la Diaspora kwa Watanzania Duniani. Lengo la Baraza ni kuwaunganisha diaspora wote  wa Kitanzania ktk taasisi moja ili kupata taarifa mbalimbali zinazowahusu diaspora wa Tanzania kwa haraka na kushauriana kuhusu mahitaji ya diaspora na jinsi ya kuyatetea.  Kupata taarifa hizo bonyeza Link hii 


Kujiunga na Baraza bonyeza link hii http://www.tdcglobal.org/member-register/

Karibu sana

NB:Ukipatwa na tatizo lolote kwenye kujiunga piga simu
+47 46 21 86 09

Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzako.

Agnes Lerdorf 
Kamati ya Mahusiano na Umma

Tanzania Global Diaspora Council
Pamoja Tunaweza - Mtu Kwao Ndio Ngao




No comments: