Tuesday, September 25, 2007



Kama utani, miaka miwili iliyopita, mpiga picha maarufu nchini Tanzania, Muhidini Issa Michuzi, alianzisha kitu ambacho tunaweza kusema kimekuwa ‘a national phenomena kama sio international phenomena”. Alichokianzisha ni blog ambayo hivi leo ndio imetimiza miaka miwili tangu kuanzishwa kwake rasmi.

Kwa mara ya tatu Michuzi ametupa nafasi adimu ya kufanya naye mahojiano.Wakati huu tumeongea naye kuhusiana na siku hii ya kusheherekea miaka miwili ya blog yake, kutafakari pamoja muelekeo wa blog yake katika siku za mbeleni, ushauri wake kwa vyombo vya habari kuhusiana na tekinolojia n.k. Unajua Michuzi anaogopa mambo gani maishani? Nini siri ya mafanikio yake? Kwa majibu ya maswali hayo na mengine mengi haya hapa mahojiano kamili yanayoambatana na picha kibao;

(more…)


Kutoka: Bongo Celebrity.

No comments: