Kuituhumu serikali bila
ushahidi si ustaarabu
Daily News; Monday,May 26, 2008
Kauli zao za kushtusha si tu zimeelekezwa kwa serikali, bali kwa mfumo mzima unaotengeneza serikali hiyo na hivyo kuleta walakini katika akili za watu wengi wanaotafakari mambo wakiwa na akili timamu.
Kutokana na kauli hizo ambazo pia zimetoa hoja za kuundwa kwa tume kuchunguza mazingira ya kifo hicho kunaonyesha ni kiasi gani watu wanaweza kuamua kufuata uzushi na kuufanya kuwa ukweli.
Kutokana na mazingira mazima ya tukio hilo tungelipenda kuunga mkono tamko la serikali la kutaka mtu mwenye ushahidi wa kidaktari kuhusu kilichotokea autoe badala ya kuendelea kuipakaza matope serikali na kusambaza uvumi unaojenga chuki kwa wananchi.
Bofya na endelea kusoma......
No comments:
Post a Comment