Mauaji Afrika Kusini:
Watanzania wakimbilia
polisi
Na Sammy Kassika, PST Sumbawanga
Watanzania wanaoishi nchini Afrika Kusini, wamekimbilia kituo cha polisi cha Jeppe, jijini Johannesburg na sasa wameiomba serikali ya Tanzania iwasaidie waweze kurejea nchini.
Watanzania hao walitoa ombi hilo wakati wakizungumza na Nipashe kwa njia ya simu jana kufuatia serikali za Malawi, Msumbiji, Zimbabwe, Lesotho, Botswana na Ethiopia, kuamua kuwarejesha nyumbani raia wao.
Walilazimika kuchukua hatua hiyo kutokana na mauaji dhidi ya raia wa kigeni yanayoendelea nchini Afrika Kusini.
Akizungumza kwa niaba ya wenzake, Mtanzania huyo Bw. Seleman Hassan (33), alisema wamekimbilia katika kituo hicho kuanzia mapema wiki hii wakihofia usalama wao na kwamba hawana kitu chochote.
Bofya hapa na endelea...
No comments:
Post a Comment