Saturday, May 31, 2008

Mkapa aenda Boston


Na Mwandishi Wetu

RAIS mstaafu Bw. Benjamini Mkapa anatarajiwa kuondoka nchini kesho kwenda Ulaya na Marekani ambapo ziara hiyo itamfikisha mjini Boston, jimboni Massachusetts alikoishi gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) marehemu Dkt. Daudi Ballali.

Katika siku za karibuni mji wa Boston umejikita kwenye hisia za Watanzania kufuatia mlolongo wa tukio la ugonjwa hadi kifo cha ,Dkt. Ballali ambaye aliishi mjini humo hadi alipofariki kwa ugonjwa, Mei 16 mwaka huu na kuzikwa Washington DC.


Bofya na endelea...

No comments: