Zanzibar:
Uhafidhina,Visasi na
Miafaka isiyodumu (2)
Matokeo ya uchaguzi huo uliogubikwa na ghasia yalikuwa kama ifuatavyo:- ZNP/ZPPP viti 13 na ASP viti 10. Hivyo, kwa mara nyingine, matokeo hayo hayakutoa mshindi na machafuko makubwa na ghasia kuzuka ambapo karibu watu 70 waliuawa, zaidi ya 1,000 kujeruhiwa na wengine 1,000 kukamatwa na serikali.
Bofya na endelea kusoma....
No comments:
Post a Comment