Monday, October 13, 2008


Chadema yaibuka

Kidedea Tarime 


Pichani ni Mshindi wa kiti cha ubunge jimbo la 
Tarime, Charles Mwera ambaye ameibuka 
kidedea kwenye uchaguzi huo..

--------------------------

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeshinda uchaguzi wa jimbo la Tarime na kuibuka na kura 34,345 za mgombea Charles Mwera dhidi ya 28,996 za Chama Cha Mapinduzi (CCM), na mgombea wake Christopher Kangoye

UBUNGE:

CHADEMA - 34,545

CCM - 28,996

NCCR-MAGEUZI - 949

DP - 305

UDIWANI

CHADEMA - 4,820

CCM - 3,239

Habari toka kwa mdau




No comments: