Monday, December 15, 2008

Leodgar Tenga

achaguliwa tena

kuiongoza TFF


TENGA,  NYAMLANI, NASIBU WAPETA
Leodgar Tenga

TENGA,  NYAMLANI, NASIBU WAPETA

Uchaguzi Mkuu wa TFF umekwisha na Leodgar Tenga amefanikiwa kutetea kiti chake na Athmani Nyamlani anakuwa Makamu wake wa kwanza, wa pili anakuwa Nasib Ramadhan.......Tenga amemshinda mshindani wake wa karibu Jamal Malinzi kwa 
kura 68 - 39. 



No comments: