Leo ni siku ya
kukumbuka kuzaliwa
kwa mtume
Muhammad (S.A.W)
tunawatakia mema
Waislamu wote.
Chama Cha Watanzania
Oslo.
***************
Wadau...Nimepata data muda si mrefu...
Inasikitisha ila habari ndiyo hiyo
Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi leo Jumanne pale katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam amelambwa kofi na Muumini kwa kile kinachoelezwa kama kutetea matumizi ya KONDOMU kwa waumini. Alikuwa akizungumza katika baraza la Maulid lililofanyika jioni hii.
Kwa wale waliohudhuria, basi watupe data zaidi...
Inasikitisha ila habari ndiyo hiyo
Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi leo Jumanne pale katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam amelambwa kofi na Muumini kwa kile kinachoelezwa kama kutetea matumizi ya KONDOMU kwa waumini. Alikuwa akizungumza katika baraza la Maulid lililofanyika jioni hii.
Kwa wale waliohudhuria, basi watupe data zaidi...
kutoka www.jamiiforums.com
No comments:
Post a Comment