Tuesday, March 17, 2009


Nakaaya

(Bongo Flava)

kwenye CNN

Inside Africa leo


Wadau wa muziki wa kizazi kipya watupie jicho katika kipindi maalumu cha INSIDE AFRICA kitakacho onyeshwa leo, Jumanne 17-03-2009. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mwanadada NAKAAYA na mahojiano yake na CNN kuhusu muziki huo, mwelekeo wake! na maana yake.Kila la Heri

Kutoka kwa mdau Michuzi Junior:

http://michuzijr.blogspot.com/

2 comments:

Anonymous said...

Duh! Huyu mwanadada wamo!!! Angalieni huo mdomo, wooooo!!! wiiiiiiiiii!!!!

Anonymous said...

Weee "ananymous" manaake hata ujulikane jina lako....inaonyesha wewe kuona tu picha ya Nakaaya, akili yakoo imeruka puuu na kuwaza kitu kimoja tu....wewe mzinzi...acha uzinzi