Tuesday, April 07, 2009

Suala la mafuta ya




na Suleiman Pandu, Zanzibar

 

Pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuwataka wajumbe wa Baraza kuacha jazba, wawakilishi wamemtaka Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Muungano), Muhammed Seif Khatib, kusahau urais wa Zanzibar.

Wamedai kwamba hana maslahi kwa wananchi wa Zanzibar na amekuwa akijipendekeza kutaka urais wa Zanzibar kupitia mgongo wa Muungano. Hayo yalisemwa jana na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakati wakichangia hoja ya mafuta na gesi asilia, iliyowasilishwa na Waziri wa Maji, Ujenzi, Nishati na Ardhi, Mansoor Yussuf Himid….bofya na endelea>>>>>


No comments: