Semenya hatanyang´anywa
Medali ya dhahabu



Shirikisho la michezo ya riadha duniani, IAAF, limeamua kuwa Caster Semenya, abaki na medali ya dhahabu ya mbio za mita 800, aliyoipata kwenye fainali za michezo ya riadha ya dunia iliyofanyika Berlin, Agosti mwaka huu.
No comments:
Post a Comment