Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili, Bagamoyo na Morogoro umebaini kuwa vyombo mbalimbali vya dola vinamchunguza Wage, ambaye pia hujulikana kama Kigogo wa Mtangazaji Jerry Murro aliyefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuomba rushwa, kutokana na kuwepo madai mbalimbali juu ya umiliki wake wa mali zilizosheheni utajiri uliopindukia.
Anahusishwa na kumiliki shilingi bilioni mbili, ghorofa 6, Benz la milioni 200, hoteli na mali lukuki.
No comments:
Post a Comment