Friday, November 12, 2010

Mama Anna Makinda
Spika wa Bunge 2010 - 2015


Mama Anna Makinda, amechaguliwa leo hii kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa kipindi cha 2010 – 2015. Mama Makinda anakuwa mwanamke wa kwanza kuwa Spika wa Bunge toka Jamhuri ya Muungano kuzaliwa 26 Aprili 1964.

Hongera Mheshimiwa Spika, mama Anna Makinda!

Bofya na angalia orodha ya wabunge
http://www.parliament.go.tz/



No comments: