Saturday, October 01, 2011

Mtanzania atia saini na timu ya Djurgården

Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 18, Adam Kasa ametia saini na timu moja kubwa nchini Sweden ya Djurgården. Bofya na soma zaidi www.dif.se


Adam Kasa (miaka 18), kijana mwenye asili ya Kitanzania 

Adam akitia saini mkataba

Adam akiwa kwenye tizi.

No comments: