Saturday, October 08, 2011

Rais Jakaya Mrisho Kikwete atimiza miaka 61


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Jakaya Mrisho Kikwete akilishwa keki na mkewe; mama Salma Kikwete kwenye hafla ya kutimiza miaka 61, Ikulu usiku wa kuamkia leo.



No comments: