Monday, December 19, 2011

Kampuni ya magari ya SAAB kujitangaza muflisi


Kampuni ya magari ya SAAB ya Sweden iko katika hali  mbaya kiuchumi kiasi ambacho haina hela za kuwalipa mishahara wafanyakazi wake na kwenye taarifa kwa waandishi wa habari imesema kuwa itajitangaza kuwa iko muflisi.

No comments: