Thursday, December 22, 2011

Tunatoa salaam za rambi rambi kwa ndugu, jamaa na marafiki kwa waliopoteza maisha kwenye mafuriko haya

Picha za maafa ya mafuriko ya maji
Dar es Salaam


Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa kwenye jitihada za kuokoa wananchi







Mtoto huyu aliokolewa kutoka kwenye dari la nyumba moja

Picha kutoka Deutsche Welle Kiswahili kwenye Facebook 


No comments: