Sunday, March 25, 2012


Afisa misitu alikwenda kwenye shamba la miti la jamaa kukagua, Jamaa akamwambia usiingie muda huu,Afisa akatoa kitambulisho cha kazi akamwonyesha huku akimwambia "We nani wa kunizuia? Niache nifanye kazi yangu" Jamaa akanywea akamfungulia gate. Baada ya muda jamaa akamuona afisa misitu akifukuzwa na nyuki huku akipiga makelele "Mama nakufa nisaidieni Nyuki wataniua" Jamaa akamwambia WAONYESHE KITAMBULISHO BLAZA.

No comments: