Sunday, April 08, 2012

Joyce Banda awa Rais wa Malawi.


Joyce Hilda Banda (12th April 1950) jana aliapishwa kuwa Rais wa Malawi kufuatia kifo cha Bingu wa Mutharika. Mama Banda anakuwa Rais wa kwanza mwanamke nchini Malawi na wa pili mwanamke barani Afrika.

Soma zaidi kuhusu Joyce Banda: http://en.wikipedia.org/wiki/Joyce_Banda 

No comments: