Monday, May 07, 2012

Aur revoir Mr. Sarkozy!

Mr. Sarkozy


Hollande thanks his supporters


Duru ya pili ya uchaguzi mkuu wa Ufaransa uliofanyika jana nchini Ufaransa, Rais Nicolas Paul Stéphane Sarközy de Nagy-Bocsa (Nikolas Sarkozy) wa chama cha Wahafidhina, ameshindwa.  François Hollande wa chama cha Kisoshalisti ameshinda na anakuwa Rais wa Ufaransa kuanzia Mei 17. Hollande amepata 53% ya kura zote zilizopigwa na Sarkozy amepata 47%.

No comments: