Tuesday, May 15, 2012


Bunge la Norway kubadili katiba
Kuanzia leo, Norway haitakuwa nchi ya kidini


Bunge la Norway (Stortinget) leo linabadili katiba kwenye kipengele kinachohusu dini ya Kikristo kama dini ya taifa. Norway itakuwa nchi haina dini kinyume na ilivyokuwa kabla ya leo. Norway ilikuwa inajulikana kama nchi ya Kikristo. Kuanzia leo makanisa yaliyokuwa chini ya taifa, yataanza kujitegemea, japo yatakuwa yanapata ruzuku kutoka serikalini.

No comments: