Sunday, December 30, 2012

Afrikanere i Norge gjennom 400 år. Miaka 400 ya Waafrika Norway


Mwaka jana Yacoub Cisse (pichani) amechapisha kitabu kiitwacho "Afrikanere i Norge gjennom 400 år" (Miaka 400 ya Waafrika nchini Norway - tafsiri yangu).

Chanzo cha kitabu hiki kilianzia mwaka Novemba 1996. Nilikuwa natembea kupitia mtaa wa Akers (Akersgata) nikapitia kwenye ofisi ya gazeti la VG na kusoma habari kuhusu Burundi/Rwanda/Kongo na nchi za Balkan. Picha ya kusikitisha ya nilichokuwa nakisoma. Sikupenda nilichokuwa nakisoma. Nikajiwa na wazo la kubadili picha hiyo. Nikataka kufanya onyesho la Waafrika waliofanikiwa hapa Norway.

Tatizo lilikuwa: Wapi nitaanzia? Je, kuna sehemu yoyote au masjala ya bayana yoyote naweza kwenda kuchambua historia ya Waafrika hapa Norway?

Kipindi hicho, niliona kulikuwa kunachorwa picha hasi za Waafrika na nilitaka kufanya kitu kitachoonyesha picha chanya. Nilikuwa na wazo zuri lakini ilikuwa kazi kubwa kweli. Nilikuwa mtupu wa pa kuanzia.

Niliamua kuanzisha asasi niliyoiita "Anta Diop Project" na baadae niliibadilisha jina na kuiita "organisasjonen Afrikanere i Norge".

Historia ya kwanza niliipata kibahati bahati:

Mwaka 1997 nilikutana na msanii/mchoraji mtaani Oslo. Ndo kwanza nilikuwa nimetoka London kwenye maonyesho yanayoitwa "Black Child Conference" na nilinunua picha kadhaa za kuchorwa. Nia yangu ilikuwa kumwuzia huyo mchoraji hizo picha. Lakini hakuwa kabisa na hamu ya picha, bali alitaka kujua historia yangu. Aliniuliza; unatoka wapi? Nikamjibu: Mimi ni raia wa hii dunia. Akaendelea: Nimekuuliza hivyo kwa sababu shangazi yangu ni "neger". Unaweza kuzungumza nae kama unapenda (Neger ni neno ambalo halitumiki siku hizi ni sawa ni kumwita mtu mwenye asili ya bara la Afrika "nigger")  sikutilia maanani neno "neger". Niliingiwa na hamu ya kuzungumza na huyo shangazi yake. Baada ya siku kadhaa nikampigia huyo shangazi yake anayeitwa Ida Anderson. Alikuwa anakaa maeneo ya Grunnerløkka. Alizaliwa Oslo mwaka 1925 (Kipindi hicho Oslo ilikuwa inaitwa Kristiania).

Historia ya pili na yenyewe niliipata kibahati:

Ilikuwa historia ya Anne Johansen, niliyekutana nae kibahati kwenye kituo cha basi cha IKEA Furuseth Desemba 1998 kabla ya Krismasi. Nilikuwa nimechacha kweli. Nimetoka IKEA kumnunulia zawadi ya Krimasi binti mdogo wa rafiki yangu. Anne Johansen akawa anasema: "Watu wanatumia hela nyingi kununua zawadi za Krimasi bila sababu." Sikumsikia vizuri, kwa sababu mawazo yangu kwenye hela kidogo nilizobaki nazo baada ya kununua zawadi ya Krimasi. Wakati tukiwa ndani ya basi, Anne Johansen akaendelea "Nina shoga yangu mwenye rangi kama yako anaitwa Jossie Pollard ana miaka kwenye thelathini hivi.

Baada ya muda nikawasiliana na kaka wa Jossie anaitwa Pete Brown...

Baada ya hapo nikaendelea na mradi wa uandishi wa kitabu hiki. Kilichukua muda kumaliza kwa sababu mbali mbali..

Madhumuni hasa ya kuandika kitabu hiki "Afrikanere i Norge gjennom 400 år" ni kuwakilisha historia ya Waafrika nchini Norway kwa miaka 400. Kuwa uhamiaji wa Waafrika kuingia hapa Norway haukuanzia miaka ya 60 kama wengi wanavyodhania.

Je, unajua kuwa Christian Hansen  alikuwa Mwafrika na alikuwa PostaMasta wa Kragerø mwaka 1681?

je, unajua mchoraji maarufu Mnorweji Edvard Munch amemtumia Mwafrika kwenye picha zake maarufu sita alizochora?

Ni kitabu ambacho kinapaswa kusomwa na kila mtu.

Kitabu kinapatikana kwenye maduka ya kuuza vitabu: Tanum Oslo City na Grønland, Ark, Notabene na Akademica.

Au unaweza kuagizia moja kwa moja kwa kutuma baruapepe kwa: cisse208@yahoo.no

Unaweza pia kutuma SMS kwenye namba: +47 45 67 06 69

facebook: http://www.facebook.com/#!/afrinboka

Imeandikwa na Semboja, Mwamedi Juma4.


Friday, December 28, 2012


Wananchi wa Mtwara mjini wafanya maandamano makubwa kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar es Salaam

Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Mtwara Mjini wakiwa kwenye maandamano makubwa waliyoyafanya kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar es Salaam. 









Sunday, December 23, 2012



Statoil Makes Third Tanzania Natural-Gas Find


By Mikael Holter


Dec. 21 (Bloomberg) -- Statoil ASA, Norway’s largest oil and gas producer, said it has made a third natural-gas discovery off the coast of Tanzania.

The company encountered a “significant gas-bearing reservoir” while drilling an appraisal well on the Lavani 1 discovery, Stavanger-based Statoil said in a statement today (21.12.2012).

Updated volumes for Block 2, where the company has already discovered 9 trillion cubic feet of gas at Lavani and Zafarani, will be given next year, it said.

“An increase in the upside potential of the Block is expected following further evaluations of the well,” Statoil said in the statement.

Statoil is expanding abroad to counter falling production from maturing fields in Norway. The company was confident it would find enough gas in its block off Tanzania to ensure a commercial development, which would probably result in export of liquefied natural gas, Head of Exploration Tim Dodson said in June.

The new find “is a good basis for a commercial development,” Statoil spokesman Baard Glad Pedersen said by phone today.

Statoil will now drill its fourth well of the year off Tanzania to appraise the Zafarani discovery, which reserve estimate was raised to 6 trillion cubic feet in June, and acquire 3D seismic imagery to identify new exploration targets in Block 2, Senior Vice President for International Exploration Nick Maden said in the statement.

Statoil operates the license with a 65 percent stake, while Exxon Mobil Corp. holds 35 percent. Statoil is in talks with BG Group Plc on a possible LNG export solution from Tanzania.

Ziro Plus



Ziro Plus




Thursday, December 13, 2012



Indian couple in Norway sentenced 
for abusing son


A Norwegian court has sentenced an Indian couple to prison for physically abusing their then six-year-old son in a case that has drawn widespread attention in India....



Tuesday, December 04, 2012

Midlertidig grensekontroll innført - Ukisafiri hata kwenda Svinesund kuanzia 3 Desemba hadi 12 Desemba chukua pasi yako

Kuanzia Desemba 3, Norway imerudisha ulinzi mipakani kwa muda hadi Desemba 12. Sababu ni za ujio wa wakuu wa nchi za EU watakaokusanyika Oslo, Desemba 10 kwenye tuzo ya amani ya Nobel. Hivyo basi kwa wote watakaotoka nje ya Norway hata kama kwenda Svinesund (Sweden) wanapaswa kuchukua pasipoti zao kwa tahadhari.


Mandag innførte norske myndigheter en midlertidig grensekontroll ved alle reiser inn og ut av Norge. 

I praksis betyr dette at du bør ha med deg pass selv om du bare skal på harrytur til Sverige, men selvsagt også ved flyreiser.


Hvorfor og hvor lenge?

 Normalt er det passfrihet ved reiser mellom land i Schengen, men nå blir det altså gjort unntak fra denne regelen. 

 Den midlertidige kontrollen vil vare fra 3. til og med 12. desember, og skyldes ganske enkelt utdelingen av Nobels Fredspris den 10. desember. 

Formålet er å sikre den offentlige orden og indre sikkerhet, herunder å forebygge innreise av potensielt voldelige aktører i forbindelse med fredsprisutdelingen, skriver politiet på sine nettsider.

>> Norge får nasjonalt id-kort i 2015

 Dermed må reisende inn og ut av Norge være forberedt på å bli kontrollert i passkontroll på alle grenseoverganger. Nøyaktig hvor det faktisk vil bli kontroller blir likevel opp til Politiet.

– Dette gjelder alle grenser, men gjeldende trusselvurdering vil avgjøre om det er behov for å foreta kontrollvirksomhet på det enkelte grenseovergangssted, og omfanget av kontrollaktiviteten, forteller Tom Fjæstad, Politiinspektør i Politidirektoratet til DinSide.

Hva skjer hvis du ikke har passet med deg?

 Grunnen til at man bør ha med pass, er ifølge Fjæstad for å lette grensepasseringen. Skulle du ha glemt det hjemme, skal det være mulig å komme seg inn i landet for nordmenn likevel.

 – Norske borgere som kan legitimere seg med for eksempel førerkort vil ikke bli nektet innreise til landet, understreker Fjæstad.


Kilde: http://www.dinside.no/907259/midlertidig-grensekontroll-innfort 


Monday, December 03, 2012

Norway

Labour Party torn by new sex scandal

Roger Ingebrigtsen .


Some Labour Party officials are calling it the party’s worst crisis ever, after top politician Roger Ingebrigtsen was forced to resign on Friday for having had a sexual relationship eight years ago with a teenage party member. His resignation set off a weekend of drama, with some accusing him of sexual assault and others claiming he’s a victim of “dirty party politics” aimed at toppling him from power....


Read more: News in English