Bei ya tiketi za usafiri kwa Oslo na Akershus zinabadilika. Pamoja na
kubadilika kwa bei, pia tiketi za rejareja zinafutwa kuanzia Ijumaa, 1.Februari
2013. Wasafiri wanashauriwa kununua kadi (kama inavyoonekana kwenye hiyo picha
hapo juu) ambazo mtu anaweza kuijaza tiketi rejareja, ya siku, ya wiki au ya
mwezi kieletroniki.
Prisene i Oslo og
Akershus justeres fra 1.februar 2013. Blant annet forenkles billettilbudet ved
at vi kun tilbyr en type enkeltbillett (kr 30,-/15,-), med samme pris for en
sone i hele Oslo og Akershus.
No comments:
Post a Comment