Rais Jakaya Kikwete
amezindua mpango wa "Tekeleza sasa " kwa matokeo makubwa na kuwataka
viongozi kutogeuza mpango huo kuwa ni mpango wa siri badala yake uwe wazi kwa
kila mwananchi kwa lengo la kuweza kujua ni kwa namna gani mipango ya seriali
imetekelezwa na kwa viongozi watakaoshindwa kufikia malengo watalazimika
kujiondoa wenyewe.
No comments:
Post a Comment