Ulinzi mkali ambao tayari upo na utazidi kuonekana wakati wa Ujio wa
Rais wa Marekani umewafanya baadhi ya Watanzania kujihisi wanadunishwa au
kuabishwa. Wapo wengine ambao wanaona kuwa hatua mbalimbali za kiusalama
zinazochukuliwa kumlinda Obama, Familia yake na ujumbe wake zinaonesha dharau
na kutoaminiwa kwa vyombo vyetu vya ulinzi. Wengine wanafika mahali pa kuhisi
kuwa Wamarekani wanatudharau sana kiasi kwamba wanatuchagulia nani aonene na
Obama (rejea taarifa kwenye gazeti la Mwananchi la leo). Watanzania hawapaswi
kujisikia hivyo hata kidogo....
Bofya na soma kuhusu: Idara maalumu inayomlinda Rais wa Marekani, makamo
mwake n.k. “The
United States Secret Service.”
No comments:
Post a Comment