Friday, August 02, 2013

Rais Kikwete amefuturisha wanamziki wa Bongo Fleva na wasanii wa Bongo Movie Ikulu, Dar es Salaam


Rais Kikwete akiwa na msanii wa filam (Bongo Movie) na mwanamziki wa Bongo Flava Hemed Suleiman

Kutoka kushoto kwenda kulia: Ali Kiba, Rais Kikwete na Abdu Kiba

Rais Kikwete na mkongwe wa Bongo Flava, Gwamaka Kaihula aka. King Crazy GK.

Rais Kikwete na mtangazaji wa Cloud FM TV, Mbwiga Mbwiguke

Rais Kikwete na Bongo Movie star na Bongo Flava; Zuwena Mohamed aka. Shilole

Mama Salma Kikwete akiwa na baadhi ya wanamziki wa kike wa Bongo Flava


Rais Kikwete akisalimiana na Chege. Kushoto ni Kassim Mganga

Rais Kikwete akisalimiana na mwanaBongo Fleva, Lawrance Malima aka. Marlow

No comments: