Tuesday, October 15, 2013

Kisumo: CCM inaweza kung’oka madarakani


Mzee Peter Kisumo.

Mwanasiasa na kada mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Peter Kisumo ameonya kuwa chama hicho kinaweza kuondolewa madarakani kutokana na kunyamazia vitendo vya ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za umma vinavyotokea nchini...

Bofya na soma zaidi: Mwananchi


No comments: