Thursday, December 19, 2013

Kutoka Jamii Forums - kama ni kweli...tunakoelekea ni kubaya!!!


Theo Mutahaba - kuhusu ufuska wa MM, Viongozi wa CCM na Wabunge wanawake wa CCM.


Zitto Kabwe.

Nataka ujue kwamba kati ya watu 10 wajinga au wapumbavu, utakuwa mmoja wao. Nakushangaa kila siku unajigamba una akili. Akili gani uliyonayo
wakati unanunuliwa na watu wapumbavu kama Mwigulu Nchemba. Unashirikiana na TISS pamoja na makada wakubwa wa CCM, utajuaje kama mimi siyo moja ya hao watu? Au kwa sababu unajuana na Jack Nzoka? Jack ndio nani? Mwigulu pamoja na ushamba wake, amekutega vibaya na ukanasa kama swala. Ona jinsi anavyokutumia na kundi lako la Masalia kwenye mitandao ya kijamii

Zitto umekuja hadharani na propaganda za kijinga na kudai kwamba nimekutishia maisha, nilikutishia wapi wakati nilikuonya tu kwamba uwe mwangalifu na CCM pamoja na TISS unaoshikiana nao? Wakishakuua, watakuja kudai kwamba CHADEMA ndio waliokuua? Hivi wewe ni mzima kweli kijana? Mwisho ukaja kudai mimi mmoja wa vifaranga? Kijana kuwa mwanagalifu umefika pabaya kisiasa. Afadhali utafute njia mbadala. Muulize Mwigulu alifuata nini Uchini na Yule balozi anawasaidia CCM kwenye kazi gani?

Mimi kama mmoja wa watu wanaokujua vizuri na usaliti wako, zaidi yako unavyojijua, nakwambia wazi kabisa kwamba vijana wenye uwezo wa kuliongoza hii nchi tulishawaona. Haumo kabisa kwenye kundi hilo. Hiyo tuliliona siku ulipopokea magari ya Rostam Aziz. Mwenye uwezo mkubwa zaidi kuliongoza Tanzania anaishi nje ya nchi, haeleweki ataingia siasa au hataingia, na wala haeleweki kwamba yumo kwenye chama gani. Mwingine ambaye yuko karibu na anaomeonyesha uwezo, yuko CHADEMA. Wengine wote ni kelele tu kama wewe, Kilaza Nchimbi na Mlevi na Fisadi January Makamba

Bwana Zito, ukitaka kujua ujinga wako, ni pale ulipomparamia mke wa Kagasheki ambaye ameshindana na Nape Nauye. Umeingia kwenye mtego wa Mwigulu Nchemba pamoja na ushamba wake. Unajua kwamba Catherine Magige ni mke wa Kagasheki. Baada ya Conference yako kuhusu kutimuliwa Chadema, uliondoka na Catherine Magige na Binti yake mdogo mkaenda Dubai siku kadhaa kabla hajaenda uingereza ambako ametoka siku tatu nne zilizopita. Dubai ulifuatwa hadi kwenye hoteli mlikofikia.

Camera zilisetiwa na kurekodiwa mkifanya ngono na sehemu nyingine nyingi. Siyo wewe tu, Nape Nauye pia amerokodiwa akifanya Ngono na Catherine. Ngeleja amerekodiwa akifanya Ngono na Anna Kilango Malechela. Zitto nilishiriki binafsi kukurekodi ukifanya ngono na Eliza Luhanjo Marekani, sasa kazi kwako kijana…Muendelezo wa mitego dhidi ya kuwanasa na kuwazima wapumbavu kama wewe…..Tuone. Umerekodiwa na mara nyingi sana na watu tofauti pale Sinza unakolala na kila rangi ya mwanamke ……Hivi zile plani zako za kijinga Kigoma sasa hivi, unajua kweli baadhi ya wale vijana wanaoratibu ni wana TISS? Simu zote za kijinga unazompigia kakako na misukule mingine yote inarekodiwa, kwa jinsi ulivyompumbavu

Ili kukukomesha baada ya kunitaja hadharani, ninakuhakikishia kwamba ninayo video mkononi. Sasa tuone nani mjanja. Hii kitu ni muda tu tutampa Kagasheki ajionee na baadae viongozi wote wa CCM.hatutakurupuka. tutachukua muda wetu, hasa kabla ya uchaguzi wa 2015, Kwa sababu maneno tu utasema sisi waongo . Ulidhani kwamba wewe mjanja, lakini kumbe ni mtu mwepesi sana. Usichezee watu usiowaona. Mtandao huu ni mkubwa, tuko kila sehemu unakokwenda.Hakuna anayekuopenda TISS wala CCM. Unatumiwa tu. Stakabadhi ya fedha ulizotumiwa ujerumani tunazo…………..Umechokoza watu wenye uwezo zaidi ya TISS. Baada ya malalamiko kupelekwa Ujerumani, sasa hivi EU nzima inaku monitor na huyo ghaidi mshamba Mwigulu ambaye umeshirikiana naye kwembe mambo mengi ya hujuma na ughaidi

Ili CHADEMA ibaki kuwa chama, lazima wakufukuze. Yaani ni lazima wakuvue uanachama kwa maana hata wewe pia hilo unalijua, wamegundua baadhi ya mambo yako lakini siyo yote. Mpango wa TISS kukutumia kuwaua viongozi wake unalijua? CHADEMA watakuwa wajinga sana kama hawata kufukuza na wana mabadiliko hawatawaelewa. Hujuma unazowafanyia zimetosha. Ulishiriki kutaka kumuua Mbowe Arusha, CHADEMA Hawalijui hilo. Zitto wakina Kileo, ni wewe ndiye uliyesuka mpango mzima wa kuwasweka Lwakatare na Kileo. Tunasubiri wakufukuze, alafu na sisi pia tuingilie kati ka kuwaambia wana CCM kwamba hauwafai, mtafuta sifa za kijinga. Na kwa taarifa yako maongezi yako ya hivi karibuni na Andrea tangu sakata la CHADEMA lianze tunayo !

Hii email itapokewa na zaidi ya watu 50.nimefanya makusudi, na kama utabisha haukwenda Dubai na Catherine Magige, niko tayari kuweka scanned copies za ticket zenu na hoteli mliyofikia



No comments: