Saturday, December 21, 2013

Waziri Mkuu ndg. Mizengo Pinda asema kuwa Rais Jakaya Kikwete amekubali kutengua nyadhifa za mawaziri wanne baada ya ripoti ya "Operesheni Tokomeza"



Waziri Mkuu wa Tanzania, Ndugu Mizengo Pinda amesema kuwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete amekubali kutengua nyadhifa za mawaziri wanne baada ya ripoti ya "Operesheni Tokomeza". Ripoti hiyo ilitolewa Bungeni mjini Dodoma. 

Mawaziri waliotenguliwa nyadhifa zao ni: 
1. Davida Mathayo David; waziri wa Mifugo na Uvuvi,
2. Khamis Kagasheki; waziri wa Maliasili na Utalii,
3. Emmanuel Nchimbi; waziri wa Mambo ya Ndani na
4. Shamsi Vuai Nahodha; waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.

No comments: