Sunday, November 02, 2014

MJUMBE HAUAWI! HUYU NDIYE BOSI WA HOME SHOPPING CENTRE AMBAYE AMEKUWA BALOZI WETU CHINA!


Huyu ndiye Salaah, bosi wa Home Shopping Centre ambaye serikali yetu tukufu imemteua kuwa Balozi Mdogo huko China. 

 President Jakaya Kikwete and Salaah.


From the left side Commissioner of Immigration Hon. Ambokile, Salaah in the middle and Inspector General of Police Mr. Mangu. 

with his friend Samuel Sitta on Emirates First Class. 

 Salaah na Mwakyembe.


Salah akiwa na Balozi wa Tanzania nchini China (Luteni Jenerali Mstahafu) Abdulrahman Shimbo. 

 With the top Dar es Salaam officials from the left; The Mayor of 
Dar es Salaam, Dr. Masaburi, Dar es Salaam Regional commissioner Mr. Meck Sadick.

With my Ninja His excellency Minister of Home Affairs Hon. Chikawe sorting out some issues. 

With The permanent secretary in the ministry of foreign affairs and international cooperation Mr. John Haule.


Msiniulize vetting ya yeye kupewa Ubalozi huko Guangzhou China ilifanya lini, na nani na criteria zipi alizokuwa nazo huyu mwarabu wa Yemen mpaka kupewa Ubalozi.

1. Huyu jamaa hakufayiwa vetting yoyote ile whatso ever na usalama wa Taifa kabla hajapewa hiyo nafasi.

2. Familia yake na biashara zao zimekuwa kwenye kashfa nzito nzito za kwa ukwepaji kodi 

3. Salaah hana elimu wala qualification yoyote ile ambayo ingemfaya apewe nafasi hiyo. As a matter of fact how can you give a diplomatic post kwa mtu ambaye kaishia standard 6? 

4. Kwa sababu za kiusalama aka national security hafai kupewa hiyo nafasi. 

5. Kwa sababu za national interest hafai kupewa hiyo nafasi

6. Foreign wapo watu wengi sana ambao wana qualify kupewa hizo nafasi na washapitia hiyo vetting na due dilligence

7. Salaah na familia yake hawana intergrity -both professionally and personally kuwa ma diplomats wa tanzania kokote kule duniani

Kuna vijana wengi wa Kitanzania ambao wamesoma,wazalendo na washafanyiwa vetting na usalama na wapo Foreign hawapewi 

Sasa cha kujiuliza hiVi serikali ya nchi hii ina maana gani kusomesha watu wake na kisha kuwaweka benchi pale foreign halafu wanaenda kumteua huyu mshihiri wa Yemen ambaye hakusoma kuwa balozi wetu huko china?

Mbaya zaidi utashangaa jinsi mawaziri na viongozi wa juu wa serikali wanavyo mnyenyekea wakati kuna vijana wa Kitanzania ambao wasomi wanaendelea kusota pale wizarani na nafasi hizi hawapewi.



No comments: