FOMU YA KUGOMBANIA NAFASI
YA UONGOZI WA CHAMA CHA WATANZANIA WAISHIO OSLO NA JIRANI YAKE (CCW OSLO)
Muhimu:
- Mtu yeyote mwenye asili ya Tanzania anaweza
kugombea nafasi ya uongozi. Mnaombwa sana kujitokeza kwa wingi ili kufanikisha
zoezi hili muhimu.
- Andika kwa herufi kubwa.
- Fomu hii inapatikana pia katika blogu ya CCW
Oslo (http://watanzaniaoslo.blogspot.com).
- Rudisha fomu kabla ya tarehe 1 Februari 2015, kupitia barua pepe watanzaniaoslo@gmail.com au anwani CCW Oslo, Wilhelm
Færdensv. 2B, 0361 Oslo.
- Tarehe ya uchaguzi itapangwa kufuatana na
nafasi nzuri ya wagombeaje na wanajumuiya.
- Kwa ufafanuzi au maelezo
zaidi, wasiliana na CCW Oslo kwa simu +4747227366 au barua pepe watanzaniaoslo@gmail.com
Fomu:
Jina kamili:
|
||
Anwani ya unapoishi:
|
||
Simu na/au barua pepe:
|
||
Nafasi zinazogombaniwa
|
Chagua nafasi moja tu
|
|
Uenyekiti:
|
1) Mwenyekiti
|
|
2)
Kaimu mwenyekiti
|
|
|
Ukatibu:
|
3) Katibu
|
|
4) Kaimu katibu
|
|
|
Uweka hazina:
|
5) Mweka hazina
|
|
6) Kaimu mweka hazina
|
|
|
Kamati ya utendaji (wajumbe
6):
|
7) Mjumbe
|
|
Chama cha Watanzania Oslo,
Norway
No comments:
Post a Comment