
Kundi C
Uholanzi Romania 2 – 0
Uholanzi ikiwa tayari washindi wa kundi hili ilipumzisha baadhi ya wachezaji wake, kama kipa Edwin van der Sar, Giovanni van Bronckhorst, Ruud van Nistelrooy, Wesley Sneijder, Nigel de Jong Ilipata goli la kwanza lililofungwa na na Huntelaar kwenye dakika y 54. Van Persie aliwamaliza Waromania kwenye dakika ya 87 kwa kufunga goli safiii sanaaa!!
kipa wa Romania Bogdan Lobonţ` akimwamia refarii awe makini
Orlando Engelaar mfungaji wa goli la kwanza la Uholanzi
Italia Ufaransa 2 – 0
Italia ikijua kuwa kutoa droo na Ufaransa na Uholanzi kufungwa na Romania ndio mwisho wao kwenye fainali hizi, ilicheza kwa juhudi zao zote. Mafanikio yao yalianza kuonekana kwenye dakika ya 24 baada ya Abidal (benki wa Ufaransa) kumwangusha Luca Toni ndani ya mita 16. Pirlo alifunga goli kwa penalti. Goli la pili





No comments:
Post a Comment