Mkapa `mbia` Mtibwa
Rais mstaafu, Bw. Benjamin Mkapa, ana ubia wa kibiashara na Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa kilichoko katika Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, imefahamika.
Bw. Mkapa ni mkulima wa nje wa kiwanda hicho anayemiliki shamba la miwa lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 600, katika eneo la Dizungu wilayani humo.
Bofya na endelea>>>>>
No comments:
Post a Comment