![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhcXINHVx4nUSXdWEbEGSaC1ODhgD8lXNXkC2qYoVLMayqgLpBpmYheI-ZuOFIl39XJ_e4m1hVCbav6zqCABi3csDnA-emYYz4l9PgAHkTh89k78e38aLrPhgHzVvxQAeEMy8NwuhvmnEvj/s400/Euro+2008+emblem.jpg)
Uturuki yafanya
maajabu!
ilikuwa nyuma kwa
magoli 2 kwa sifuri
hadi dakika ya 75
yashinda magoli 3 – 2
Mechi hii ni moja ya mechi zilizosisimua wapenzi wa soka kwenye fainali hizi. Mpaka dakika ya 75 Chekia ilikuwa inaongoza kwa magoli 2 kwa sifuri. Magoli ya Chekia yalifungwa na Koller (dak. 34) na Plasil (dak. 62). Uturuki hawakukata tamaa hata kidogo. Wakilishambulia goli
Uswisi yaaga fainali
kwa heshima na
taadhima
yaifunga Ureno 2 – 0
Licha ya kuwa tayari wameshayaaga fainali za mataifa ya Ulaya, Uswisi walicheza kwa bidii na kuifunga Ureno kwa magoli 2 – 0. Magoli ya Uswisi yalifungwa na
Hakan Yakin (dakika 71, 83).
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3G5RJv2BF_uxQsDpxLIg4bhjydw4jlfUnrzEgUkIMbs9LV2lQJdiLn5wERuj_DxdDAe5VXZCdtFUretakJsr-R51ENhC15c5yyRMkwD4IT8BD8O2IgLXCPWYCQXSEGdaCq1nD3ZTTYLtx/s400/USWISI+NA+URENO+Hakan+Yakin+akipongezwa+na+kocha+wake+15+jUNI+2008.jpg)
No comments:
Post a Comment