
Mwanasheria Mkuu
Zanzibar apingana na
Waziri Mkuu Tanzania
Na Salma Said, Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema Zanzibar ni nchi na ina mamlaka kamili ya kikatiba kinyume na ilivyoelezwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuwa si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
No comments:
Post a Comment