Wednesday, July 09, 2008


Mwanasheria Mkuu

Zanzibar apingana na

Waziri Mkuu Tanzania


Na Salma Said, Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema Zanzibar ni nchi na ina mamlaka kamili ya kikatiba kinyume na ilivyoelezwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuwa si nchi bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


No comments: