Wednesday, July 29, 2009

Dokta Cheni mgeni rasmi ktk

mnuso wa ubwete jioni ya

leo ndani ya Underground

Safari Disco Oslo Norway...





Tunayo furaha Kubwa sana kufikiwa na mgeni rasmi,

Doctor Cheni ambaye msaani mkali wa

kuigiza filam za Kitanzania

Yuko ndani ya Norway mjini Oslo kwa

ghafla basi nasi moja kwa moja tunampokea

kwa furaha Jioni ya leo aliomba awasalimie

Watanzania wote waishio Mjini hapa.

Dokta Cheni pia yuko na Movie yake mpya na

anapenda kuwaonyesha watanzania wote wa

Norway au Oslo jioni ya leo.

pia week hii ni yeye atakuwa V.I.P Guest ndani ya

Biblos on Friday 31. Aug Bila kuchelewa wahi

mapema ujionee maendeleo ya Watanzania wenye bidii...

Mahali ni

Bør & Børsen Thondeimveien 13

Oslo. Norway

Entre: 50 kr.

door open kl.21-03

Karibuni

Music ya Bongo Flavaz Swahili beat &

Zuku Rumba

By Dj Uncle Pred A.k.a Abdul.


1 comment:

Anonymous said...

jamani uyu kaka hana majivuno kabisaaaa yani tuliishi nae kwa raha zake mpaka anaondoka bila matatizo big up cheni uko juu