Thursday, July 23, 2009

Stori hii inasikitisha!

Sikiliza toka Clouds FM:

Heka heka za Dina Marios






2 comments:

Mosi-O-Tunya said...

Miaka ya 70 wakati nasoma shule ya Habib Punja (Sijui kama bado ipo), kulikuwa na jamaa mmoja anaitwa Charle Cheusi. Baba yake alikuwa polisi. Alikuwa na mchezo wa kuzunguka mashuleni Ilala na kuchukua wanafunzi wasichana na kuwabaka. Akienda kushtakiwa, siku ya pili anaonekana mitaani. Watu wakachoka.

Walifanyia mikakati mizito:

Jamaa walimvia siku moja usiku anatoka Msondo Ngoma pale Amana.

Genge la watu kama kumi hivi. Walimkamata na kumkwida, wakamlawiti jamaa kama watatu tu wengine wakiaangalia.

Toka siku hiyo hakuonekana tena Ilala. Alilala Mission Quarter alikokuwa anakaa.

Huo jamaa anayewalawiti watoto wadogo, kwanza watu naye wangemshughulikia ipasavyo.

Ashtakiwe na afungwe kama bau Seya. Jamaa jela wakisikia sababu yakufungwa, watamfanya mwanamke wao!!!

Mtambalike said...

Duuh...Mosi-O-Tunya...hiyo kali!!!!!!!!!!!!