

Picha hii kutoka http://haki-hakingowi.blogspot.com/
Waziri Salome Mbatia afariki dunia
*Gari lake lagongana uso kwa uso na lori Fusso
*Waokoaji walazimika kukata mabati kuwatoa
Na Waandishi Wetu, Dar, Iringa
NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Bibi Salome Mbatia, amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea jana saa 10: 45 eneo la Kibena Factory wilayani Njombe
mkoani Iringa.
Akithibitisha kutokea kifo hicho kwa njia ya simu kutoka eneo la tukio, Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Dkt. David Mathayo, alisema marehemu Mbatia alikumbwa na mkasa huo akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea Njombe, akiwa katika gari lake binafsi,
Nissan Patrol namba T 724 AGZ......(More)
No comments:
Post a Comment