Saturday, November 24, 2007



Baadhi ya wanamitindo wa kibongo wakionesha mitindo ya mavazi mbalimbali inayowafaa wana wa kiafrika. Lakini kikubwa kinachonishangaza wabunifu wa mavazi wanajitahidi sana kubuni mavazi mbalimbali ambayo mtu yeyote yanamfaa, lakini sioni mavazi hayo yakivaliwa kwa wingi kama haya mavazi yaliyomo ndani ya maduka ya butiki. Wenzetu (wazungu) wakija ndio mavazi yanayowavutia na huyanunua kwa wingi na kurudi nayo makwao, huku sisi wenyewee aaah kama vile hayatuhusu, why wabongo kwaniniiiii jamaniiiii tuna niniiiii tusiotaka kuthamini vya kwetu.

Kutoka kwa Michuzi Junior blogspot dot com

No comments: