Friday, November 23, 2007

Mpaka leo hii bado hajatimiza ndoto yake ya kuwa Raisi wa pili wa Tanganyika.Lakini jambo moja ambalo ameshatimiza ni kuandikwa kwenye vitabu vya historia ya Tanzania kama mwanasiasa machachari na ambaye hachoki.Jina lake ni Christopher Mtikila.Ila kwa heshima ya nafasi aliyonayo katika masuala ya imani ukimuita Mchungaji Christopher Mtikila ndio unakuwa umepatia zaidi.

Ukitaka kuelewa kidogo kuhusu alipotokea Mchungaji Mtikila,basi soma mahojiano aliyowahi kufanya na jamaa wa pbs.org siku za nyuma kwa kubonyeza hapa.

Photo credit:Mrocky

Kutoka Bongo Celebrity.

No comments: