Kipanya na ujio wa
Rais George W. Bush Jr.

Rais Bush akiwa
ziarani Arusha
Kiwanda cha A-Z cha vyandarua
Rais George Bush wa Marekani akimkubatia mmoja wa akina mama
waliowakabidhi vyandarua kwa ajili ya watoto wao wachanga kwa lengo la kujikinga na mbu wanaosababisha malaria,pamoja na mambo mengine Rais Bush leo ametoa tamko kuwa kwa kipindi cha miezi sita ijayo serikali ya Marekani ikishirikiana na benki ya dunia na Globa Fund watatoa mchango wa vitanda na neti million 5.2 bure kwa serikali ya Tanzania ikiwa ni utekelezaji wa ombi la Rais Jakaya Kikwete kwa Rais Bush, na hiii itasaidia kuepusha watoto kati ya mwaka mmoja na mitano kuugua ugonjwa wa malaria nchini Tanzania.
Rais George Bush wa marekani (wa pili kushoto) na mke Laura Bush wametembela kiwanda cha kutengeneza vyandarua cha A -Z Textile Mills kilichopo mkoani arusha muda mfupi baada ya kutoka hospitali ya Meru mkoani humo.

waliowakabidhi vyandarua kwa ajili ya watoto wao wachanga kwa lengo la kujikinga na mbu wanaosababisha malaria,pamoja na mambo mengine Rais Bush leo ametoa tamko kuwa kwa kipindi cha miezi sita ijayo serikali ya Marekani ikishirikiana na benki ya dunia na Globa Fund watatoa mchango wa vitanda na neti million 5.2 bure kwa serikali ya Tanzania ikiwa ni utekelezaji wa ombi la Rais Jakaya Kikwete kwa Rais Bush, na hiii itasaidia kuepusha watoto kati ya mwaka mmoja na mitano kuugua ugonjwa wa malaria nchini Tanzania.


Hospitali ya Meru, Arusha.



ni Dr Aziz Msuya wa hospitali hiyo.



http://haki-hakingowi.blogspot.com









Picha kwa hisani ya: http://issamichuzi.blogspot.com
No comments:
Post a Comment